mandwa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 1,493
- 361
Ni wazo zuri utakutana na wafugaji wa kuku wa kienyeji tulioanza na kuku wawili leo nina zaidi ya mia moja........kuna uzi humu wa ufugaji kuku uliyeanza ufugaji utafute utapata uzoefu mkubwa........wewe ulieanza na kuku hamsini pambana na hao kuku kwa kuzingatia chanjo ili wakuwe maana ni kazi kubwa kwa mtu anayeanza kuanza na vifaranga .....
Asante kwa ushauri vp upo dsm naomba uniuzie japo kuku5 majike wa size ya kati kama inawezekana mkuu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums