Chama cha wafugaji wa kuku wa kienyeji

Chama cha wafugaji wa kuku wa kienyeji

Ni wazo zuri utakutana na wafugaji wa kuku wa kienyeji tulioanza na kuku wawili leo nina zaidi ya mia moja........kuna uzi humu wa ufugaji kuku uliyeanza ufugaji utafute utapata uzoefu mkubwa........wewe ulieanza na kuku hamsini pambana na hao kuku kwa kuzingatia chanjo ili wakuwe maana ni kazi kubwa kwa mtu anayeanza kuanza na vifaranga .....

Asante kwa ushauri vp upo dsm naomba uniuzie japo kuku5 majike wa size ya kati kama inawezekana mkuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jamani nikaribisheni kwenye mabanda yenu nije nipate japo elimu kidogo nitashukuru,jana nilikua Morogoro maeneo fulani nikakuta watu wanafuga kuku wa asili sana nimependa tatizo hawataki kuuza ni PM kama upo tayari kunisaidia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Count me in ,mwanzoni Kabisa nisichelewe.

Na pia nahitaji Elimu Kidogo .

Nataka kulewa ni kwa namna gani naweza kichanganya Kuku wa Kienyeji kupandishia na wa Wa kisasa kwa ajili ya Kupata Mayai.

Ntafutilia saana kwa hili ,naomba elimu hiuo.

Pia juu ya swala la Chama , aliunga mkono,hivyo basi baada ya kukamilika kwa wadau kadhaa tutafute namna ya kuweza kupata fursa kirahisi katika kubadilishana mafunzo,ujuzi na mambo mengine .
 
ni wazo zuri ila kuna mtu kaanzisha na ametualika tujiunge umoja wa wafugaji wa kuku wote kwa ujumla. Mnaonaje tukiingia humo?

Hebu tupe maelezo zaidi kuhusu hii kitu...Tusije kufanya ile re-investing the wheel...Tukarudia kitu ambacho kingehitaji maboresho tu
 
Asante kwa ushauri vp upo dsm naomba uniuzie japo kuku5 majike wa size ya kati kama inawezekana mkuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Nipo Morogoro ndg matetea ni siwezi toa ila majogoo ninayo.....
 
Jamani nikaribisheni kwenye mabanda yenu nije nipate japo elimu kidogo nitashukuru,jana nilikua Morogoro maeneo fulani nikakuta watu wanafuga kuku wa asili sana nimependa tatizo hawataki kuuza ni PM kama upo tayari kunisaidia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Karibu Morogoro ......swala la kuuza kuku wakubwa huwa ni nadra sana
 
Wekeni wazi kama chama kimeanzisho tupate mawasiliano tu join
 
Ni idea nzuri, ila mm nina penda kushauri kwa anejua faida na hasala, changamoto N.K za hiv vikundi aorodheshe apa ili maradi kila mtu ajue na ajipime mwenyewe kama anaweza kweli ku mudu kuwa kwenye kikundi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ndugu wana Jf amani iwe nanyi.kwa mda mrefu nimesoma maandiko kadha wa kadha juu ya ufugaji wa kuku wa kienyeji humu Jf na nimehamasika.kwa kuanzia na kwa mazingira niliyopo nimeanza na kuku 50 wa kienyeji . wiki ijayo nitaongeza kuku 100 .sasa baada ya kusoma post tofauti tofauti juu ya mbinu anuai ningependa kushauri tuanzisheni chama cha wafugaji kuku wa kienyeji.hii itakuwa na faida zifuatazo kwa uchache ;(1) kubadilishana uzoefu na mbinu za ufugaji bora (2) kujenga mtandao wa masoko.karibuni kwa mjadala tuboreshe wazo hili.



Mkubwa.....hivi hii issue ulipenda iwe tu umeanzisha ama haukuwa na malengo yeyote........uvivu ni adui wa maendeleo jamani
 
Back
Top Bottom