Fomu za kujitoa au kuendelea zinaletwa usihofu.
haya ni mawazo mgando! Changia hoja iliyopo jukwaani na siyo vipropaganda vyako vya kitoto. Watu makini tuko nje ya vijisiasa vyenu uchwara. Unafikiri kwa kutumia miguu au?kama mukoba 'kawasaliti' peleka taarifa zake kurugenzi ya usalama ya chadema taarifa muhim; anapendelea kinywaji gani,ana bastola au pisto,ana nyumba ndogo, n.k then sikilizia majibu maana ni muda mrefu hajaitisha mgomo wa walim
haya ni mawazo mgando! Changia hoja iliyopo jukwaani na siyo vipropaganda vyako vya kitoto. Watu makini tuko nje ya vijisiasa vyenu uchwara. Unafikiri kwa kutumia miguu au?
Fomu za kujitoa au kuendelea zinaletwa usihofu.
Yawezekana wewe sio mwalimu, ndo ninyi mlioandaliwa kubomoa chama.
Yawezekana wewe sio mwalimu, ndo ninyi mlioandaliwa kubomoa chama.
Naomba uwe mstaarabu na Engineering yako.Nimeomba mchango kwa walimu ambao wanaelewa maana hi thread; siyo ww Engineer.Unaonekana huna uelewa na hizo div.zero ndio maana Waziri mkuu kaanzisha tume kutafuta chanzo cha tatizo.Kama ww una majibu basi wasiliana na tume moja kwa moja.kwenda zako, mtu makini ungeishia kwenye Ualimu, haujui chanzo cha matatizo yenu ni kukaribisha Wanasiasa kwny chama? Sie huku kwenye Engineering ipo Bodi lakin hatuishii kulia lia ila unakaza buti kivyako tatizo lenu walim mko kama Broilers mnataka kila kitu kihudumiwe na mshahara haiwezekani jishughulisheni ngazi za mshahara serikalini zinafana mbona wenzenu wana unafuu japo sio mabos wa kupiga ufisadi kama mngekuwa mnalipwa kwa kutegemea Efficiency this time mngepaswa kukatwa 60% kufidia zile zero za Necta!
kwenda zako, mtu makini ungeishia kwenye Ualimu, haujui chanzo cha matatizo yenu ni kukaribisha Wanasiasa kwny chama? Sie huku kwenye Engineering ipo Bodi lakin hatuishii kulia lia ila unakaza buti kivyako tatizo lenu walim mko kama Broilers mnataka kila kitu kihudumiwe na mshahara haiwezekani jishughulisheni ngazi za mshahara serikalini zinafana mbona wenzenu wana unafuu japo sio mabos wa kupiga ufisadi kama mngekuwa mnalipwa kwa kutegemea Efficiency this time mngepaswa kukatwa 60% kufidia zile zero za Necta!
kwenda zako, mtu makini ungeishia kwenye Ualimu, haujui chanzo cha matatizo yenu ni kukaribisha Wanasiasa kwny chama? Sie huku kwenye Engineering ipo Bodi lakin hatuishii kulia lia ila unakaza buti kivyako tatizo lenu walim mko kama Broilers mnataka kila kitu kihudumiwe na mshahara haiwezekani jishughulisheni ngazi za mshahara serikalini zinafana mbona wenzenu wana unafuu japo sio mabos wa kupiga ufisadi kama mngekuwa mnalipwa kwa kutegemea Efficiency this time mngepaswa kukatwa 60% kufidia zile zero za Necta!
kwenda zako, mtu makini ungeishia kwenye Ualimu, haujui chanzo cha matatizo yenu ni kukaribisha Wanasiasa kwny chama? Sie huku kwenye Engineering ipo Bodi lakin hatuishii kulia lia ila unakaza buti kivyako tatizo lenu walim mko kama Broilers mnataka kila kitu kihudumiwe na mshahara haiwezekani jishughulisheni ngazi za mshahara serikalini zinafana mbona wenzenu wana unafuu japo sio mabos wa kupiga ufisadi kama mngekuwa mnalipwa kwa kutegemea Efficiency this time mngepaswa kukatwa 60% kufidia zile zero za Necta!
Ninaomba walimu wanisaidie kama kuna website ya CWT maana hiki chama kipo kimya sana,hakifanyi jitihada zozote kuweka mabo yake kisasa.Kimsingi pia nataka kufahamu katiba yao kipengele cha kujitoa maana naona nataabika sana na chama kipo domant maeneo ya walayani.Maafisa elimu wamekuwa miungu watu chama kipo kimya.Wangekuwa na webpage ingewasaidia wanachama kulink na HQ kwa utatuzi wa haraka.Vinginevyo makato yao kwenye mishahara isitishwe maanahaitusaidii.
Naomba kuwakilisha.