Chama Cha walimu Tanzania (CWT) VS Chama Cha kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA)

Chama Cha walimu Tanzania (CWT) VS Chama Cha kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA)

wililo

Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
78
Reaction score
27
Chama Cha walimu TANZANIA na Chama Cha kutetea haki za walimu TANZANIA

Hivi ni vyama vimeundwa Kwa mujibu wa Sheria Kwa lengo la kusimamia na kutetea haki na maslahi ya walimu.

Tofauti yake:

1. CWT wanakata 2% kwenye msharahara wa mwanachama lakini CHAKUHAWATA wanakata 5000/= kwenye mshahara wa Kila mwanachama kama ada ya Kila mwezi.

2.CWT ni Chama kikongwe kisicho na maono ya kumsaidia mwanachama katika kutetea haki zake lakini CHAKUHAWATA kimekuja kama mbadala na maono ya kutetea mwanachama wake.

3. CWT ni Chama chenye vitegauchumi vingi kama nyumba, viwanja na benki lakini hakijawahi fikria kupunguza makato ya uanchama 2% Kwa mwanachama wake lakini CHAKUHAWATA kimeonelea Kila mwanachama alipie ada kidogo Ili kupunguza maumivu ya kupanda na ongezeko la mshahara wa mwanachama.

4. CWT ni Chama kisichokuwa na meno Kumsemea mwanachama Kwa mwajiri lakini CHAKUHAWATA kimekuja kurekebisha makosa hayo.

NB: Ongeza zingine unazozifahamu
 
Walimu mnaibiwa, acheni u......au basi.

Amkeni bado hamjachelewa.
 
Nategemea happy baadae kitatokea chama Kwa sekondar pekeez primary pekee nk.
 
Kama sio mwanachama wakitetea kitu kikakubalika na ww utakatwa ila wakifeli basi unakula urojo sisi wa TALGU hata usipojaza form wanakukula juzi wameniletea Tshet hata cjawai jaza form mm na wameanza nikata
Hakuna hiari ya kujiunga zaidi ya kulazimisha ukatwe
 
Chama Cha walimu TANZANIA na Chama Cha kutetea haki za walimu TANZANIA

Hivi ni vyama vimeundwa Kwa mujibu wa Sheria Kwa lengo la kusimamia na kutetea haki na maslahi ya walimu.

Tofauti yake:

1. CWT wanakata 2% kwenye msharahara wa mwanachama lakini CHAKUHAWATA wanakata 5000/= kwenye mshahara wa Kila mwanachama kama ada ya Kila mwezi.

2.CWT ni Chama kikongwe kisicho na maono ya kumsaidia mwanachama katika kutetea haki zake lakini CHAKUHAWATA kimekuja kama mbadala na maono ya kutetea mwanachama wake.

3. CWT ni Chama chenye vitegauchumi vingi kama nyumba, viwanja na benki lakini hakijawahi fikria kupunguza makato ya uanchama 2% Kwa mwanachama wake lakini CHAKUHAWATA kimeonelea Kila mwanachama alipie ada kidogo Ili kupunguza maumivu ya kupanda na ongezeko la mshahara wa mwanachama.

4. CWT ni Chama kisichokuwa na meno Kumsemea mwanachama Kwa mwajiri lakini CHAKUHAWATA kimekuja kurekebisha makosa hayo.

NB: Ongeza zingine unazozifahamu
Hofu yangu kwenye hiki chama chenu ni ile tu ya kutekwa na mamluki wa ccm, kwa kujipenyeza na kuwa viongozi! Kama walivyofanya kwenye vyama vingine vya wafanyakazi nchini.

Kwa mtazamo wangu, naamini walimu wengi watajiunga kwa sababu tu ya hiyo ada sawa inayotozwa kwa wanachama wote, ya 5000!

CWT walipigiwa kelele kwa miaka mingi kuachana na utaratibu kandamizi wa kuwatoza walimu ada 2% kila mwezi, badala yake wawatoze ada inayofanana (flat rate)! Kwa bahati mbaya wakaishia tu kuwapuuza. I wish walimu wengi waondoke CWT na kuhamia huko CHAKUHAWATA ili iwe funzo kwa vyama vingine vya kitapeli.
 
Niko mbioni kuniunga na chakuhawata,
Cwt wanakula 32,000 per month Toka kwangu,Bora hao wale5000 zinabaki 27,000 ntakua nifanyie Nini mbele ya safari.
Mamamaeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mimi pia juzi nilijaza fomu za kujiondoa CWT na kujiunga CHAKUWAHATA, nasubiri kuona mambo yatakuwaje sababu hawa CWT kwa sasa wanashirikiana na wakurugenzi ili tusikimbie huu utumwa. Kimsingi vyama vyote havina msaada kwa mwalimu (wote majizi) ukipata mwizi ambaye atakuibia 5000/= ni afadhali kuliko mwizi anayeiba 30000/= +.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hofu yangu kwenye hiki chama chenu ni ile tu ya kutekwa na mamluki wa ccm, kwa kujipenyeza na kuwa viongozi! Kama walivyofanya kwenye vyama vingine vya wafanyakazi nchini.

Kwa mtazamo wangu, naamini walimu wengi watajiunga kwa sababu tu ya hiyo ada sawa inayotozwa kwa wanachama wote, ya 5000!

CWT walipigiwa kelele kwa miaka mingi kuachana na utaratibu kandamizi wa kuwatoza walimu ada 2% kila mwezi, badala yake wawatoze ada inayofanana (flat rate)! Kwa bahati mbaya wakaishia tu kuwapuuza. I wish walimu wengi waondoke CWT na kuhamia huko CHAKUHAWATA ili iwe funzo kwa vyama vingine vya kitapeli.
Mbona hawahoji hiyo buku tano inaenda Wapi? Au fraha Yao nikuona kakatwa buku tano tu
 
Back
Top Bottom