kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Milele haiwezekani!Mitaani hii tunaita Kuweka mpira kwapani , ni heri lawama kuliko fedheha , Ushauri wako ni muhimu ukazingatiwa , na isiwe 2025 iwe milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milele haiwezekani!Mitaani hii tunaita Kuweka mpira kwapani , ni heri lawama kuliko fedheha , Ushauri wako ni muhimu ukazingatiwa , na isiwe 2025 iwe milele
Tena huyo ndio hana uvumilivu!Waliokuwa wanakwepa midahalo huko ccm ni wenye akili, Mkapa aliweza mdahalo maana alikuta kizazi cha mwisho mwisho Cha ccm. Hawa wengine wamekutana na kizazi Cha kuhoji na kupima hoja na sio zidumu fikra za mwenyekiti. Huyo muhalifu mpanda punda, anataka mdahalo Ili kupata platform ya kujisafisha maovu yake.
Anajua nini anakifanya anakwenda kumtia aibu mwenyekiti wake!Makonda amekusikia ila atakupuuza.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Analazimisha kufanya siasa na wapinzani ili awe relevant kwa waliomteua. Inaonekana alipewa kazi maalimu ya kujibizana na wapinzani, ndio maana Kila mara analazimisha wapinzani wajitokeze avutane nao.Tena huyo ndio hana uvumilivu!