Pre GE2025 Chama changu pendwa CCM ni kweli mnataka mdahalo na CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tena huyo ndio hana uvumilivu!
 
Tena huyo ndio hana uvumilivu!
Analazimisha kufanya siasa na wapinzani ili awe relevant kwa waliomteua. Inaonekana alipewa kazi maalimu ya kujibizana na wapinzani, ndio maana Kila mara analazimisha wapinzani wajitokeze avutane nao.

Kuna siku hadi anasema wapinzani wasipofanya siasa yeye anakuwa hana maana ndani ya ccm. Na alivyokuwa hajitambua hajui hata aseme Nini kwenye public, ndio maana anaweka hadharani wajibu wake. Kumbe katibu wa itikadi na uenezi kazi yake ni kujibishana na wapinzani, na sio kueneza itakidi za chama chake. Uzuri wapinzani nao wanajua ni muhalifu, hivyo wamempotezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…