Chama gani cha upinzani Tanzania angalau kina sera na uelekeo wa kuaminika kwa sasa?

Chama gani cha upinzani Tanzania angalau kina sera na uelekeo wa kuaminika kwa sasa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Tanzania kuna vyama vya kisiasa zaidi ya 20 vyenye usajili wa kudumu. hata hivyo, vipo zaidi ya hivyo vyenye usajili wa muda kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa.

Je, ni kipi kwa maoni yako?

Miongoni mwa vya vyama vya siasa vya upinzani, chenye usajili wa kudumu, ambacho kipo hai, chenye muundo imara na mzuri wa kitaasisi, chenye uongozi unao eleweka kwa awamu, chenye katiba nzuri, chenye wanachama wengi zaidi ya mashabiki, chenye sera nzuri mbadala, chenye mikakati ya kuvutia wananchi, chenye mipango na uelekeo wa chama cha upinzani kweli, na ambacho angalau kina aminika kwa wananchi kwa sasa?

Kitaje na useme kidogo kwanini hicho 🐒
 
Tanzania kuna vyama vya kisiasa zaidi ya 20 vyenye usajili wa kudumu. hata hivyo, vipo zaidi ya hivyo vyenye usajili wa muda kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa...

Je, ni kipi kwa maoni yako,
miongoni mwa vya vyama vya siasa vya upinzani, chenye usajili wa kudumu, ambacho kipo hai, chenye muundo imara na mzuri wa kitaasisi, chenye uongozi unao eleweka kwa awamu, chenye katiba nzuri, chenye wanachama wengi zaidi ya mashabiki, chenye sera nzuri mbadala, chenye mikakati ya kuvutia wananchi, chenye mipango na uelekeo wa chama cha upinzani kweli, na ambacho angalau kina aminika kwa wananchi kwa sasa?

kitaje na useme kidogo kwanini hicho 🐒
CHADEMA=Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinachoamini katika Uhuru na Watu.Kwamba bila watu hakuna Uhuru na Maendeleo na bila Uhuru wa kweli hakuna Haki,Wajibu na maendeleo ya kweli.
 
Hakuna vyama vya upinzani vinategemea MTU badala ya Sera

Mfano Chadema kilimeremeta Sana kipindi Mzee Mtei,na Kabarou na Slaa na Lowasa akiwa Chadema kiliwaka hasa

CUF kiliwaka hasa Maalim Seif Shariff Hamad akiwepo

TLP ilimeremeta Sana alipokuwepo Mrema

NCCR mageuzi pia iliwaka Sana walipokuweko Akina Marando

Chama kinatakiwa kuwe Tu kinameremeta bila kuangalia MTU kinajijenga chenyewe kama chenyewe sio ohhh kama Fulani hayupo chama hamna
 
Hakuna vyama vya upinzani vinategemea MTU badala ya Sera

Mfano Chadema kilimeremeta Sana kipindi Mzee Mtei,na Kabarou na Slaa na Lowasa akiwa Chadema kiliwaka hasa

CUF kiliwaka hasa Maalim Seif Shariff Hamad akiwepo

TLP ilimeremeta Sana alipikuwepo Mrema

NCCR mageuzi pia iliwaka Sana wakiweko Akina Marando

Chama kinatakiwa kuwe Tu kinameremeta bila kuangalia MTU kinajijenga chenyewe kama chenyewe sio ohhh kama Fulani hayupo chama hamna
CHADEMA ilimeremeta na inameremeta na itaendelea kumeremeta mpaka mwisho wa dunia kwa sababu ilianza na Mungu,na inalindwa na Mungu japo ccm,vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na machawa wanapambana usiku kucha kila siku kuivuruga lakini nuru yake bado inawaka na Mungu ataendelea kuilinda CHADEMA kwa sababu inaamini katika WATU walioumbwa kwa mfano wake na haiamini katika Mapinduzi kama jirani zao wanavyofanya kizuri kinakuwa kibaya na kibaya kinakuwa kizuri.Chama cha dhuluma,utapeli,ujambazi,rushwa na kuishi kwa kutegemea watawala.
 
Tanzania kuna vyama vya kisiasa zaidi ya 20 vyenye usajili wa kudumu. hata hivyo, vipo zaidi ya hivyo vyenye usajili wa muda kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa...

Je, ni kipi kwa maoni yako,
miongoni mwa vya vyama vya siasa vya upinzani, chenye usajili wa kudumu, ambacho kipo hai, chenye muundo imara na mzuri wa kitaasisi, chenye uongozi unao eleweka kwa awamu, chenye katiba nzuri, chenye wanachama wengi zaidi ya mashabiki, chenye sera nzuri mbadala, chenye mikakati ya kuvutia wananchi, chenye mipango na uelekeo wa chama cha upinzani kweli, na ambacho angalau kina aminika kwa wananchi kwa sasa?

kitaje na useme kidogo kwanini hicho 🐒
Sera zao zilikua nzuri alizutumia shujaa Magu wakazikana na kuanza kutetea wezi na kukataa ujenzi wa maendeleo hivi sasa wanaangalia matumbo na matukio kwa sera hakuna!
 
Sera zao zilikua nzuri alizutumia shujaa Magu wakazikana na kuanza kutetea wezi na kukataa ujenzi wa maendeleo hivi sasa wanaangalia matumbo na matukio kwa sera hakuna!
Magu alitaka kuiga sera za CHADEMA wenye ccm wakamkalia vibaya badala yake akaingia kichwa kichwa kuwatesa CHADEMA ili kuwaridhisha wenye ccm na alipofanikiwa kuwaondoa CHADEMA kwenye mfumo wenye ccm wakamwondoa mazima kwa kuogopa kuwa ataanza kuwashughulikia wao.
 
Tanzania kuna vyama vya kisiasa zaidi ya 20 vyenye usajili wa kudumu. hata hivyo, vipo zaidi ya hivyo vyenye usajili wa muda kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa...

Je, ni kipi kwa maoni yako,
miongoni mwa vya vyama vya siasa vya upinzani, chenye usajili wa kudumu, ambacho kipo hai, chenye muundo imara na mzuri wa kitaasisi, chenye uongozi unao eleweka kwa awamu, chenye katiba nzuri, chenye wanachama wengi zaidi ya mashabiki, chenye sera nzuri mbadala, chenye mikakati ya kuvutia wananchi, chenye mipango na uelekeo wa chama cha upinzani kweli, na ambacho angalau kina aminika kwa wananchi kwa sasa?

kitaje na useme kidogo kwanini hicho 🐒
HAKUNA WOTE JANJA JANJA TU hahaaaa mbowe
 
Tanzania kuna vyama vya kisiasa zaidi ya 20 vyenye usajili wa kudumu. hata hivyo, vipo zaidi ya hivyo vyenye usajili wa muda kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa...

Je, ni kipi kwa maoni yako,
miongoni mwa vya vyama vya siasa vya upinzani, chenye usajili wa kudumu, ambacho kipo hai, chenye muundo imara na mzuri wa kitaasisi, chenye uongozi unao eleweka kwa awamu, chenye katiba nzuri, chenye wanachama wengi zaidi ya mashabiki, chenye sera nzuri mbadala, chenye mikakati ya kuvutia wananchi, chenye mipango na uelekeo wa chama cha upin
Sera ndio zingekuwa zinatoa uongozi kwa chama, tungeongelea sera kama kigezo Cha wananchi kukubali chama fulani. Lakini kwa hizi chaguzi za kishenzi unawezaje kuongelea sera kama kipimo Cha chama kukubalika na wananchi?
 
Back
Top Bottom