NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Baada ya mchezo wa simba vs vipers zimeibuka nyuzi humu za kuanza kumpamba chama, yaani Kama hufatilii mpira wa bongo unaweza ukadhani ronadinho amezaliwa bongo au mess kaja kucheza simba kwa mkopo.
Gemu ya Azam vs simba, simba alidondosha pointi mbili mbele ya Wana lambalamba Azam, chama alicheza na hakuonekana kabisa kiufupi alifichwa hiyo ni kutokana na quality players ya wachezaji wa Azam.
Ndiyo, tukija kwenye gemu ya simba vs Rajacasablanca, simba wanapigwa bao tatu kwa mtungi Tena kwa mkapa, hiyo mechi chama alicheza lakini namba yake ulikua ni kuzurura uwanjani tu,
Na hiyo kwa sababu raja Wana quality players na ndiyo maana chama akafichwa kwapani mpaka kocha wa raja akasema
"hatujaona mchezaji wa simba anayeweza kuichezea raja"
Twende kwenye mechi ya horoya dhidi ya simba, hapo napo chama alishiriki Kama mchezaji wa simba tu hakuna alichokionyesha na alifichwa mpaka mashabiki wa simba wakalalamika kuwachama apumnzishwe.
Ukitaka chama awe ronadinho au mess mchezeshe na ruvu, dar city hapo ndipo utakapo mtambua chama kuwa ni maradona wa bongo.
NB. mpira haudanganyi wala mpira siyo mchezo wa simulizi huyo chama ni mchezaji wakawaida sana kuliko na vile mashabiki na wachambuzi wa mchongo mnavyompamba inafikia hatua mnaanza kumshindanisha na malegend wetu waliofanya makubwa ambapo huyo chama hata theluthi hafiki.
Gemu ya Azam vs simba, simba alidondosha pointi mbili mbele ya Wana lambalamba Azam, chama alicheza na hakuonekana kabisa kiufupi alifichwa hiyo ni kutokana na quality players ya wachezaji wa Azam.
Ndiyo, tukija kwenye gemu ya simba vs Rajacasablanca, simba wanapigwa bao tatu kwa mtungi Tena kwa mkapa, hiyo mechi chama alicheza lakini namba yake ulikua ni kuzurura uwanjani tu,
Na hiyo kwa sababu raja Wana quality players na ndiyo maana chama akafichwa kwapani mpaka kocha wa raja akasema
"hatujaona mchezaji wa simba anayeweza kuichezea raja"
Twende kwenye mechi ya horoya dhidi ya simba, hapo napo chama alishiriki Kama mchezaji wa simba tu hakuna alichokionyesha na alifichwa mpaka mashabiki wa simba wakalalamika kuwachama apumnzishwe.
Ukitaka chama awe ronadinho au mess mchezeshe na ruvu, dar city hapo ndipo utakapo mtambua chama kuwa ni maradona wa bongo.
NB. mpira haudanganyi wala mpira siyo mchezo wa simulizi huyo chama ni mchezaji wakawaida sana kuliko na vile mashabiki na wachambuzi wa mchongo mnavyompamba inafikia hatua mnaanza kumshindanisha na malegend wetu waliofanya makubwa ambapo huyo chama hata theluthi hafiki.