Badala ya kulalamika na kutukana na vilevile waandishi wetu kuogopa na kukaa chini sisi...Tumefanya utafiti mdogo kwanini ghafla Bunge na mfumo mzima wa uongozi wa serkali ya Tanzania ghafla wanawahitaji hao wabunge wa CHADEMA.
MASHARTI YA PESA TOKA NJE (DONORS)
Kama mnaelewa bunge letu hakuna pesa la kuliendesha na ndo maana kuna wabunge tumesikia wamelalamika hawajapewa pesa za magari. Kwahiyo Bunge linahitaji pesa toka nje na wameandika maombi kwa donors wao wakubwa na wameletewa mashariti madogo ili hiyo pesa ipatikane.
Diversity and Inclusion in Tanzania Parliament
Pamoja na demokrasia mbovu iliyozaa hilo bunge,Donors wamesema wanaweza kutoa hizo pesa kama tu shariti la bunge kuwa diversity and inclusivity (sijapata maneno mazuri kwa Kiswahili).Bunge diversity and inclusivity kwa mujibu wa donors ni Bunge lenye;
1.Wabunge toka vyama mbalimbali vya kisiasa
2.Wabunge wanawake toka vyama mbalimbali vya kisiasa au makundi ya kijamii.
Bunge la Tanzania linatakiwa kukizi 4 protected characteristics kati ya 9 za kawaida ambazo ni 1.Age 2 gender 3.sex orientation na 4 disability
JOB NDUGAI
Huyu anaelewa kinachoendelea na anautaalam mzuri wa mabunge ya madola na Zaidi zaidi anazihitaji hizo pesa kwa nguvu zote ili kuendesha bunge na anawahitaji kwa nguvu zote wale wanamama wa chadema ili kutiki box zote za mashariti ya pesa,sasa ni rafiki mzuri sana wa Halima Mdee.
HALIMA MDEE
Huyu ni muhimu sana kwa Ndugai na mfumo mzima kwasababu yeye anaweza kutiki box zote hapo juu.
MASHARTI YA PESA TOKA NJE (DONORS)
Kama mnaelewa bunge letu hakuna pesa la kuliendesha na ndo maana kuna wabunge tumesikia wamelalamika hawajapewa pesa za magari. Kwahiyo Bunge linahitaji pesa toka nje na wameandika maombi kwa donors wao wakubwa na wameletewa mashariti madogo ili hiyo pesa ipatikane.
Diversity and Inclusion in Tanzania Parliament
Pamoja na demokrasia mbovu iliyozaa hilo bunge,Donors wamesema wanaweza kutoa hizo pesa kama tu shariti la bunge kuwa diversity and inclusivity (sijapata maneno mazuri kwa Kiswahili).Bunge diversity and inclusivity kwa mujibu wa donors ni Bunge lenye;
1.Wabunge toka vyama mbalimbali vya kisiasa
2.Wabunge wanawake toka vyama mbalimbali vya kisiasa au makundi ya kijamii.
Bunge la Tanzania linatakiwa kukizi 4 protected characteristics kati ya 9 za kawaida ambazo ni 1.Age 2 gender 3.sex orientation na 4 disability
JOB NDUGAI
Huyu anaelewa kinachoendelea na anautaalam mzuri wa mabunge ya madola na Zaidi zaidi anazihitaji hizo pesa kwa nguvu zote ili kuendesha bunge na anawahitaji kwa nguvu zote wale wanamama wa chadema ili kutiki box zote za mashariti ya pesa,sasa ni rafiki mzuri sana wa Halima Mdee.
HALIMA MDEE
Huyu ni muhimu sana kwa Ndugai na mfumo mzima kwasababu yeye anaweza kutiki box zote hapo juu.