Chama Kikuu cha Upinzani nchini ni ACT- Wazalendo siyo CHADEMA

Chama Kikuu cha Upinzani nchini ni ACT- Wazalendo siyo CHADEMA

Yaani CCM ni jalala kwelikweli.

Kama kina Mchopanga ndio Crème de la crème mpaka wanapewa U-DC, jiulize waliobaki huko wana viwango gani/
 
Kilaza kama wewe hata kuandika kiswahili fasaha huwezi unaweza kuwa na hoja yenye mashiko?
Kilaza niyule kanjanja aliekusanya vikaratasi jalalani nakututapeli atavipeleka mahaka za kimataifa halafu akatula chenga kubwaa.
 
Etiii Uncle naskia kuna watu naskia wanarudishiwa faini walizo lipa mahakamani kwa sababu eti wanasema ile hukumu ilikua batili sijui umesikia hizo habari ...!!!??

Eti ni kweli jamani watu waongo mmmmh!!!!

Eti Uncle ni kweli hizi habari ... !!!???

Sasa Uncle kama nikweli sa'itakuwaje kwahiyo inamaana LEGACY ya yule itakuwa imengia DOA eti wanasema au ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Elitwegeeeeeee!!! Umekua msemaji wa ACT ha ha ha ha haaaa

Wapi Bia Yetu ... salimia sana Magonjwa Mtambuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku wakakiri walitumia kura feki kushinda uchaguzi
 
Habari.

Ili kuweka mambo sawa kuhusiana na Siasa za nchi yetu, ifahamike kuwa chama kikuu cha upinzani hapa nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ACT- Wazalendo inayoongozwa na Zito Kabwe na siyo CHADEMA inayoongozwa na Freeman Mbowe.

Bila kujua wafuasi wengi wa CHADEMA wamekuwa wakikitambulisha kama Chama Kikuu cha Upinzani nchini wakati siyo kweli. Hadhi ya CHADEMA kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini ilikoma mwaka 2020 baada ya kushindwa kila mahali na kuambulia Mbunge mmoja tu.

ACT-Wazalendo ina Wabunge wengi kuliko CHADEMA kwa sasa.

Unatumia chaguzi zisizo za kidemokrasia au wanachama ! Upizani ni idadi ya wanachama sio Chaguzi ambazo kila mtu anajua hazikuwa za kidmokrasia idadi ya wanachama ndiyo kipimo cha kweli
 
Habari.

Ili kuweka mambo sawa kuhusiana na Siasa za nchi yetu, ifahamike kuwa chama kikuu cha upinzani hapa nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ACT- Wazalendo inayoongozwa na Zito Kabwe na siyo CHADEMA inayoongozwa na Freeman Mbowe.

Bila kujua wafuasi wengi wa CHADEMA wamekuwa wakikitambulisha kama Chama Kikuu cha Upinzani nchini wakati siyo kweli. Hadhi ya CHADEMA kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini ilikoma mwaka 2020 baada ya kushindwa kila mahali na kuambulia Mbunge mmoja tu.

ACT-Wazalendo ina Wabunge wengi kuliko CHADEMA kwa sasa.
Kweli kabisa.

Amandla...
 
Habari.

Ili kuweka mambo sawa kuhusiana na Siasa za nchi yetu, ifahamike kuwa chama kikuu cha upinzani hapa nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ACT- Wazalendo inayoongozwa na Zito Kabwe na siyo CHADEMA inayoongozwa na Freeman Mbowe.

Bila kujua wafuasi wengi wa CHADEMA wamekuwa wakikitambulisha kama Chama Kikuu cha Upinzani nchini wakati siyo kweli. Hadhi ya CHADEMA kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini ilikoma mwaka 2020 baada ya kushindwa kila mahali na kuambulia Mbunge mmoja tu.

ACT-Wazalendo ina Wabunge wengi kuliko CHADEMA kwa sasa.
mkono hoja.
Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania ni ACT Wazalendo, kwasababu kina wabunge Bara na Visiwani, pia kina wawakilishi ndani ya Baraza la Wawakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania Bara ni Chadema. Kina mbunge mmoja bara, hakina mbunge Zanzibar wala mwakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani Zanzibar ni ACT Wazalendo, kina wabunge na wawakilishi.

Ili Upinzani ufanikiwe lazima wapinzani washirikiane.

Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.

P
 
mkono hoja.
Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania ni ACT Wazalendo, kwasababu kina wabunge Bara na Visiwani, pia kina wawakilishi ndani ya Baraza la Wawakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania Bara ni Chadema. Kina mbunge mmoja bara, hakina mbunge Zanzibar wala mwakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani Zanzibar ni ACT Wazalendo, kina wabunge na wawakilishi.

Ili Upinzani ufanikiwe lazima wapinzani washirikiane.

Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.

P
Sawa
 
Chadema ile ni branch yetu kwa sasa yaani tunaucontrol tunavyotaka.
 
Back
Top Bottom