Chama kimoja kwa miaka 62 ni uzee tosha, tukibadili

Chama kimoja kwa miaka 62 ni uzee tosha, tukibadili

Tatizo la Africa sio vyama hata nchi waliobadili vyama hawana tofauti na wasiobadili
 
Akili zako za nyumbu kwani ukoo wenu bado mnaishi nyumba ileile miaka 60 toka babu na bibi zenu hadi leo? Hamkujenga nyingine? Hamjaongezeka? Vitanda na meza bado vilevile hamjanunua wala kuongeza vingine vilivyo bora?
Akili za kipumbavu sana kuwaza maisha ya miaka 60 iliyopita yawe yaleyale Hadi leo.
Watoto wawe walewale, madarasa Yale yale! Pumbavu. Kisa Mbowe yuleyule wakati CCM mwenyekiti anabadilika kila miaka 10.
CCM imezeeka,

Kubadili mkt Kila baada ya miaka 10, ni sawa tu na Mzee kupaka PIKO Kila baada ya miezi 3.
 
sasa mbona ni malalamiko tu na hakuna suluhisho mbadala 🐒
Mbadala wa CCM (ikibidi) ni yule atakayepata kura nyingi za wananchi watakaopiga kura kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika kihalali na kwa haki. Sio kama ule ujinga uliofanywa 2019 na 2020.

Hakuna mtu binafsi (individual) anayeweza kujua (kwa uhakika) mbadala wa CCM nje ya uchaguzi huru na wa haki. Hata kujua kama CCM imechokwa au haijachokwa ni vivyo hivyo TU.

Nje ya hapo ni USHIRIKINA.
 
Hiki chama kimepoteza sifa ya kuja mbele ya JAMII kuomba nafasi ingine ya kutuongoza Watanzania Kwa ngazi zote.
 
Back
Top Bottom