Akili zako za nyumbu kwani ukoo wenu bado mnaishi nyumba ileile miaka 60 toka babu na bibi zenu hadi leo? Hamkujenga nyingine? Hamjaongezeka? Vitanda na meza bado vilevile hamjanunua wala kuongeza vingine vilivyo bora?
Akili za kipumbavu sana kuwaza maisha ya miaka 60 iliyopita yawe yaleyale Hadi leo.
Watoto wawe walewale, madarasa Yale yale! Pumbavu. Kisa Mbowe yuleyule wakati CCM mwenyekiti anabadilika kila miaka 10.