Chama kimoja nchini siyo demokrasia. Mfumo wa vyama vingi inatafsiriwa ni uchochezi

Chama kimoja nchini siyo demokrasia. Mfumo wa vyama vingi inatafsiriwa ni uchochezi

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Kila nyakati za uchaguzi na zisizo za uchaguzi, mfumo wa shughuli zakisiasa ni chonganishi kwa wananchi na si rafiki kwa wananchi.
Kuna umuhimu wakuendelea kuwa kujiita tuna mfumo wa vyama vingi?
 
Kila nyakati za uchaguzi na zisizo za uchaguzi,mfumo wa shughuli zakisiasa ni chonganishi kwa wananchi na si rafiki kwa wananchi.
Kuna umuhimu wakuendelea kuwa kujiita tuna mfumo wa vyama vingi?
Ukosefu wa Akili kutafsiri hivyo Ccm ipo Madaraka kwa 60 inaogopa
Siasa za Vyama vingi,
Inaogopa Katiba Mpya
Inaogopa Mikutano ya Hadhara na ya NDANI
Inakamata Wanasiasa wa Upinzani AIBU KUBWA
 
Back
Top Bottom