Uchaguzi 2020 Chama kinamkana mgombea?

Uchaguzi 2020 Chama kinamkana mgombea?

Hujui lolote kaa kimya. Leo hii Tanzania inaagiza sabuni toka kama miaka ya nyuma? Mabati hayatengenezwi hapa Tanzania? Misumari, madawa n.k

Hizo bidhaa ulizotaja zilianza kutengenezwa na viwanda vya hapa hapa, kabla hata Magufuli hajaingia madarakani. Kama ni Tanzania ya viwanda basi ilikuwa ni kabla ya Magufuli kuingia madarakani kwa huo muktadha wako. Hizo bidhaa zinaingia hapa nchini kutoka nje, na zitaendelea kuingia kutokana na utandawazi, na sio kwasababu hakuna viwanda vya bidhaa hizo.
 
Hujui lolote kaa kimya. Leo hii Tanzania inaagiza sabuni toka kama miaka ya nyuma? Mabati hayatengenezwi hapa Tanzania? Misumari, madawa n.k
Hivyo viwanda vimeajiri watz wangapi? Jiwe atapiga mno Magoti na kutoa vitisho kwa wapiga kura lakini watz wameshamkataa.
Watz wamechoshwa na siasa za vitisho, ubaguzi, utekaji, mauaji ya wakosoaji, kubambikwa kesi ovyo nakila aina ya ukatili.
Watz wanapenda maisha ya amani, Uhuru, kuheshimiana na sio kudhurumiwa haki na Uhuru wao.
 
Kura yangu ni kwa lisu

Katu siwezi sikiliza maneno ya wapuuzi waliolishwa mapulizo.
 
Niliwahi kuambiwa mtuhumiwa asipofika mahakamani, mdhamini unabanwa na kulakiwa kuwasilishadhamana uliyopangiwa.
 
Hizo bidhaa ulizotaja zilianza kutengenezwa na viwanda vya hapa hapa, kabla hata Magufuli hajaingia madarakani. Kama ni Tanzania ya viwanda basi ilikuwa ni kabla ya Magufuli kuingia madarakani kwa huo muktadha wako. Hizo bidhaa zinaingia hapa nchini kutoka nje, na zitaendelea kuingia kutokana na utandawazi, na sio kwasababu hakuna viwanda vya bidhaa hizo.
Wewe acha ubishi,kuna viwanda vya mabati kama Waja vimeanzishwa awamu hii,viwanda kma Nice one nk vimeanzishwa awamu hii. Unacholeta ni ubishi wa kitoto. Miaka ya nyuma Tanzania ilikuwa inaagiza bidhaa nyingi toka nje,sasa hivi vingi vinatengenezwa hapa nchini. Hadi mabus na malori yameanza kuungwa hapa Tanzania.
 
Hivyo viwanda vimeajiri watz wangapi? Jiwe atapiga mno Magoti na kutoa vitisho kwa wapiga kura lakini watz wameshamkataa.
Watz wamechoshwa na siasa za vitisho, ubaguzi, utekaji, mauaji ya wakosoaji, kubambikwa kesi ovyo nakila aina ya ukatili.
Watz wanapenda maisha ya amani, Uhuru, kuheshimiana na sio kudhurumiwa haki na Uhuru wao.
Kama huna uhuru na haki mbona upo huru kuandia huu upuuzi wako.

Takwimu ya idadi ya walioajiriwa muulize waziri wa viwanda.
 
Wewe acha ubishi,kuna viwanda vya mabati kama Waja vimeanzishwa awamu hii,viwanda kma Nice one nk vimeanzishwa awamu hii. Unacholeta ni ubishi wa kitoto. Miaka ya nyuma Tanzania ilikuwa inaagiza bidhaa nyingi toka nje,sasa hivi vingi vinatengenezwa hapa nchini. Hadi mabus na malori yameanza kuungwa hapa Tanzania.

Narudia tena, viwanda kwa mtiririko huo unaoutaja ww vimekuwa vikijengwa awamu zote, na wala hatukuwahi kuambiwa ni Tanzania ya viwanda. Sisi tunazungumzia nchi ya viwanda, ww unatutajia ujenzi wa viwanda wa trend ya kawaida? Nikusaidue kitu, huu mjadala ulitokana na mtu aliyekuwa ameingia Hadaa ya viwanda 100@mkoa, na vile anajua tulitoka wapi na huo mjadala kakimbia, lakini ww ukarukia naona saa hii unaishia kujichanganya tu.
 
Tanzania haiwezi kuungamkono mgombea u rais anaye shabikia mapenzi ya jinsia mmoja. Isije ikawa ametoka ughaibuni akiwa tayari amesha poswa.
 
Narudia tena, viwanda kwa mtiririko huo unaoutaja ww vimekuwa vikijengwa awamu zote, na wala hatukuwahi kuambiwa ni Tanzania ya viwanda. Sisi tunazungumzia nchi ya viwanda, ww unatutajia ujenzi wa viwanda wa trend ya kawaida? Nikusaidue kitu, huu mjadala ulitokana na mtu aliyekuwa ameingia Hadaa ya viwanda 100@mkoa, na vile anajua tulitoka wapi na huo mjadala kakimbia, lakini ww ukarukia naona saa hii unaishia kujichanganya tu.
Kusema kuwa Tanzania ya viwanda sio kuwa uchumi wa taifa utegemee viwanda tu,alafu kilimo na biashara zisiendelezwe.
Kusema Tanzania ya viwanda maana yake ni kuimarisha manufacturing induastries ili kuweza kuimarisha balance of trade.
Jambo amabalo limefanyiaka ndio maana unaona bidhaa nyingi zinalishwa hapa nchini,hasa baada ya awamu ya tano kuingia madarakani. Mfano tu tiles na Gypsum boards nyingi zilikuwa zinaaagizwa nje. Leo hii nyingi zinatengezwa hapa Tanzania.

Wewe uelewa wako mdogo unataka uone majengo ya viwanda 100 kila mkoa ndio uridhike?
 
Kusema kuwa Tanzania ya viwanda sio kuwa uchumi wa taifa utegemee viwanda tu,alafu kilimo na biashara zisiendelezwe.
Kusema Tanzania ya viwanda maana yake ni kuimarisha manufacturing induastries ili kuweza kuimarisha balance of trade.
Jambo amabalo limefanyiaka ndio maana unaona bidhaa nyingi zinalishwa hapa nchini,hasa baada ya awamu ya tano kuingia madarakani. Mfano tu tiles na Gypsum boards nyingi zilikuwa zinaaagizwa nje. Leo hii nyingi zinatengezwa hapa Tanzania.

Wewe uelewa wako mdogo unataka uone majengo ya viwanda 100 kila mkoa ndio uridhike?

Piga kimya dogo huna jipya.
 
Hujui lolote kaa kimya. Leo hii Tanzania inaagiza sabuni toka kama miaka ya nyuma? Mabati hayatengenezwi hapa Tanzania? Misumari, madawa n.k
Chadema kwa uongo tabata tu Kuna kiwanda cha mabat na Misumar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
jingalao,

Hoja zilikuwa ni za viwanda 100@mkoa, lakini unakimbia kila siku. Na mzee wa jazba sasa hivi haongelei ule utapeli wa viwanda kabisa. Sasa tuache kujadili mambo ya msingi tujadili haya Majungu?
Nilidhani uzi ameanzisha mtu mwenye akili kumbe ni jingaloa.
 
Wanasema ukiwa na mitego na ujuaji mwingi mwisho wa siku utajitega mwenyewe.

Kuna Chama kimeonesha kukana mgombea wake, yaani kumbe anayoyafanya au kuyasema mgombea wake Chama hakiyatambui.

Ni sad story haswa, lakini sisi wapiga kura tunajifunza. Kuna mojawapo ya tweets za mbunge fulani zilionekana kukana kile alichokisema mgombea wao ingawa ilikanushwa kwa mashaka.

Leo hii tumepata ushahidi mwingine wa namna gani chama kinamkana mgombea na kumtwisha zigo zito.

Naona ni namna gani demokrasia inavyochezewa katika hili, yaani udhamini ni wa kwenye karatasi tu na inapokuja takwa la kuwajibika Chama kinakimbia.

Tujadili bila matusi na tuvumilie tunapoambiwa ukweli.
Kwani chama mbogamboga, mgombea yuko na Nani zaidi ya katibu maslahi na mwenezu maslahi
 
Wanasema ukiwa na mitego na ujuaji mwingi mwisho wa siku utajitega mwenyewe.

Kuna Chama kimeonesha kukana mgombea wake, yaani kumbe anayoyafanya au kuyasema mgombea wake Chama hakiyatambui.

Ni sad story haswa, lakini sisi wapiga kura tunajifunza. Kuna mojawapo ya tweets za mbunge fulani zilionekana kukana kile alichokisema mgombea wao ingawa ilikanushwa kwa mashaka.

Leo hii tumepata ushahidi mwingine wa namna gani chama kinamkana mgombea na kumtwisha zigo zito.

Naona ni namna gani demokrasia inavyochezewa katika hili, yaani udhamini ni wa kwenye karatasi tu na inapokuja takwa la kuwajibika Chama kinakimbia.

Tujadili bila matusi na tuvumilie tunapoambiwa ukweli.
Hivi karibuni nilisoma mahali kuwa kuna mgombea mmoja wa udiwani, sikumbuki Chama lakini ni cha upinzani, kajitoa katika zoezi hili. Lakini sikusikia Chama chake kikishirikishwa katika uamuzi huo.
 
tindo anauwezo mdogo sana wa kupambanua mambo. Anataka aone kila mkoa una viwanda 100

Nikikuambia huna ujualo inabidi uelewe. Hivyo viwanda 100@mkoa sio matakwa yangu, bali yalikuwa maagizo ya rais kwa kila mkoa, ili kuhadaa umma kuhusu Tanzania ya viwanda.
 
Uzuri ni kwamba, kwa jinsi siku zinavyozidi kusonga mbele, yule Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya USHOGA anazidi kujipambanua zaidi kuwa yeye amametumwa na MABEBERU.
Watanzania wa sasa wana uelewa mzuri sana tofauti na hapo mwanzo.
subirini kipigo cha MBWAKOKO Oct, 28.
 
Taarifa za chama kumkana mbunge zinatolewa na maofisa wa tume wa Ccm!!!

Kama Chama kinamkana kwa nini wasifanye press conference wamkane wao!!!

Hizo hila na propaganda zenu CCM na vyombo vyake wala hazitusumbui
Umeisoma thread vizuri?
 
Back
Top Bottom