Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Yaani Kuna watu HAWANA haya Wala aibu wanakula wanavibiwa huku majority wakitaabika na kila mwaka viongozi wa serikali wanashindana kununua V860yrs tuna changamoto kubwa la elimu.tunaandaa taifa la wajinga kwa kasi kubwa sana.NASHUKURU DOTO BITEKO AMESHTUKA kwa mdomo wake amekiri taifa linaangamia kwa elimu inayotolewa na hizi medium school.hizi shule wanaandaa kizaz cha hovyo
Mkuu si shuleni tu ndio mtoto anapoandaliwa hata huku kwenye jamii tunamoishi na hususani Kwenye familia kunachangia sana katika kumjenga mwanadamu.60yrs tuna changamoto kubwa la elimu.tunaandaa taifa la wajinga kwa kasi kubwa sana.NASHUKURU DOTO BITEKO AMESHTUKA kwa mdomo wake amekiri taifa linaangamia kwa elimu inayotolewa na hizi medium school.hizi shule wanaandaa kizaz cha hovyo
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."Wasalaam
CHAMA kipo madarakani zaidi ya miaka 60 lakini,
1. Barabara mbovu
2. Maji Safi na salama ni shida
3. Elimu mbovu
4. Afya duni
5. Lishe duni
6. Viongozi kuishi kwa anasa
7. Umasikini uliokithiri
Nashauri tuendelee kuwachagua atuletee maendeleo kwani vyama vingine vitaleta Vita Kama ukrani na urusi Israeli na palestina. Kidumu CHAMA tawala
Acha wewe!Wasalaam
CHAMA kipo madarakani zaidi ya miaka 60 lakini,
1. Barabara mbovu
2. Maji Safi na salama ni shida
3. Elimu mbovu
4. Afya duni
5. Lishe duni
6. Viongozi kuishi kwa anasa
7. Umasikini uliokithiri
Nashauri tuendelee kuwachagua atuletee maendeleo kwani vyama vingine vitaleta Vita Kama ukrani na urusi Israeli na palestina. Kidumu CHAMA tawala
Nchi ipo salama na Inaendelea kusonga mbele na kupaa kimaendeleo kama ndege vita.kwa sasa Tanzania ni miongoni mwa nchi nchi kumi zenye uchumi mkubwa barani Afrika na ambayo uchumi wake unakuwa kwa kasi nzuri.Ngoja Lucas Mwashambwa aione hii atakavyobubujikwa na machozi ya huzuni.
Watoto wa Biteko wanasoma wapi?60yrs tuna changamoto kubwa la elimu.tunaandaa taifa la wajinga kwa kasi kubwa sana.NASHUKURU DOTO BITEKO AMESHTUKA kwa mdomo wake amekiri taifa linaangamia kwa elimu inayotolewa na hizi medium school.hizi shule wanaandaa kizaz cha hovyo
HatakujibuWatoto wa Biteko wanasoma wapi?
Mmmmmh!"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Aisome mwashambwa sijui mwashamba maana ndio domo kaya humu kusifia ujinga kila siku nyau huyuWasalaam
CHAMA kipo madarakani zaidi ya miaka 60 lakini,
1. Barabara mbovu
2. Maji Safi na salama ni shida
3. Elimu mbovu
4. Afya duni
5. Lishe duni
6. Viongozi kuishi kwa anasa
7. Umasikini uliokithiri
Nashauri tuendelee kuwachagua atuletee maendeleo kwani vyama vingine vitaleta Vita Kama ukrani na urusi Israeli na palestina. Kidumu CHAMA tawala