Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Ipa watega, apa unadhihirisha kuwa kwenye kundi la wahuni na wewe umo. [emoji16][emoji23]
Nashukuru sana lakini mimi siamini katika uongo bali naamini katika ukweli mshenzi mmoja Tangu tupate uhuru hadi anapata madaraka kutoka kwa viongozi huru tena wa chama chake anaanzisha mada ya mabeberu wakati yeye alikuwa beberu nambo moja Tanzania,Urais hakuupata kwa vita wala hakuingia msituni kama Mseveni na Kagame akaanzisha ukagame na umseveni Tanzania nauongo mwiiiingi halafu uniite mimi mhuni,Mungu akubariki.
 
Wasukuma nao ni watu tena wanao lisha chakula Tanzania nzima KWA uchapakazi WAO!!
Mikoa inayolisha Tanzania na nchi jirani ni tisa ambayo ni:-
1.Rukwa- Wafipa
2.Ruvuma-Wngoni
3.Songwe-Wanyiha,Wamalira,Wanyamwanga na Wandali
4.Njombe-Wabena na Wakinga
5.Morogoro- Waruguru
6.Mbeya - Wanyakyusa,Wasafwa
7.Kigoma-Waha
8.Katavi-Wafipa na Wasukuma
9.Iringa-Wahehe
 
Hv unadhan nan alikuwa na jukumu kubwa la kukemea ule ushetani uliokuwa ukifanyika ktk utawala wake???au bdo ulikuwa mtt????
Damu zipi,hizo picha za Kivu na CAR.Anyway,tunachosena ni hiki tushirikiane wote kuiletea nchi yetu maendeleo,kusitokee mmoja wetu akawa Covert CIA operative or whatever akatuvuta miguu nyuma,hiyo haitakubalika.
 
Ww ucwe chawa hivyo
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,hv nan alikuwa akizuia maendeleo au ule unga wa bi.kirembwe aliwaathiri kwa ule unga wake wa ndere???
 
SUKUMA GANG ni wale wote waliofanywa misukule na lile kubwa la maadui
Sukuma gang ndio nini?This is an imaginery group which cannot be proved that it exsists.Claim hii ina nia ovu ya kupaka matope yeyote mwenye nia njema na taifa letu na kutetea maslahi yake.This concept has its roots in hell.
 
Hao waliouwawa baadhi ya hatua zilichukuliwa vp yule adui kuu alikuwa akiwajibikaje???
 
Hv unadhan nan alikuwa na jukumu kubwa la kukemea ule ushetani uliokuwa ukifanyika ktk utawala wake???au bdo ulikuwa mtt????
Wewe ulifoji cheti au mwizi wa fedha za umma nk.nk.na ukakutana na hasira ya Magufuli sio bure.
 
Wasukuma wametapakaa KILA mahali kama wakulima KILA mkoa unawakuta kama wafanyabiashara wa kichaga vile!!
 
hujui usemalo
Wewe ndo hujui wewe cheki tu kidogo alivyo simama gwajima Na falsafa ya magufuli ya kupinga Corona watu wengi walimkubali Na wengine kumpokea kama rais chuki zako tu ndo zinakufanya useme Ivo ila ukweli ndo uo magufuli alipendwa Na watu wengi saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…