Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Don,Don nimekuwa brainwashed na nani na kwa maslahi yapi?Don wakeup.Don hao wakosoaji si walikuwa wanatumiwa na mabeberu ili wananchi ambao hawajitambui na sio diagnostic kama wewe wamuone JPM ni mbaya....!Don,CIA Covert Operators wamo JF na Tanzania kwenye institutions zote,and Lissu is one of them.
Very good! Kabla ya yote niwekee evidence wa madai yako, pili mimi sio muumin wa kufanyia kazi some theories, nasema kile ambacho kilikua activated practically. Nan alikua anaaminisha raia wamuone JPM mmbaya? JPM yapo yake alifanya good 🙏 yapo ambayo alifanya worse, siwez mchukia mtu kwa kuambiwa tu mtu mtu mwingine then nianze mchukia!! Halafu fungueni akili mzee hii biashara ya kuona alikua anapigwa vita na mabeberu, mzungu akikumaindi hutoboi.
 
UKISKIA MTU ALIE KWENDA SHULE MPK LEO ANAKWAMBIA HABARI ZA UBEBERU SJUI UKOLONI AU WAZUNGU WANATUIBIA UJUE BADO ANA CHAWA KICHWANI WAMEMJAAA NA HAWATAONDOKA KWA KUBISHANA NAE HAPA ANATAKIWA ARUDI SHULE NZURI ALIPIWE ADA ASOME UPYA!
 
DUNIA HIII YA SASA ALIE JUU NDIO ANAMKULA WA CHINI UNATAKA NI HIVYO HUTAKI NI HIVYO! HATA WW UKIJITIZAMA VZR UTAJIKUTA NA WW PIA NI BEBERU KWA NAMNA FULANI KTK JAMII YAKO INAYOKUZUNGUKA AU UNA KITABIA CHA KIU BEBERU FLANI AMAZING...! [emoji28]
 
Very good! Kabla ya yote niwekee evidence wa madai yako, pili mimi sio muumin wa kufanyia kazi some theories, nasema kile ambacho kilikua activated practically. Nan alikua anaaminisha raia wamuone JPM mmbaya? JPM yapo yake alifanya good 🙏 yapo ambayo alifanya worse, siwez mchukia mtu kwa kuambiwa tu mtu mtu mwingine then nianze mchukia!! Halafu fungueni akili mzee hii biashara ya kuona alikua anapigwa vita na mabeberu, mzungu akikumaindi hutoboi.
Sasa Magufuli walim-mind ndio maana hakutoboa.Don nikupe kiashiria kidogo,and this is simple.Ukiona mabeberu wanapenda Rais wenu,ujue mnapigwa.Sasa Samia mabeberu wanampenda,kwa hiyo jibu unalo!
 
Bravo @JPM.
20220412_101013.jpg
 
UKISKIA MTU ALIE KWENDA SHULE MPK LEO ANAKWAMBIA HABARI ZA UBEBERU SJUI UKOLONI AU WAZUNGU WANATUIBIA UJUE BADO ANA CHAWA KICHWANI WAMEMJAAA NA HAWATAONDOKA KWA KUBISHANA NAE HAPA ANATAKIWA ARUDI SHULE NZURI ALIPIWE ADA ASOME UPYA!
Kama kwenda shule ni kukubali kupigwa,basi hiyo shule sihitaji na ilikuwa chaka la kufundisha ujinga na utaahira.
 
KWANI NCHI ZINAZOPIGANA VITA HAMUELEWI NI VITA KWAAJILI YA INTEREST ZAO WALIOCHONGANISHA NA WANAOPIGANA YOTE SABABU YA MASLAHI YA KITU FULANI SO WANAKUFA WATU WASIOKUA NA HATIA ALIE NA POWER ATACHUKUA KINGUVU PENGINE ALIKUA NA MKATABA AU PIA HANA WANGAPI WAMEFANYIWA HIVYO NA NCHI NGAPI ZINALINDWA NA HAO MNAO WAITA MABEBERU NA ZINA AMANI NA KIUCHUMI ZIPO JUU SANA!!! KULA ULIWE MBONGO NDO MCHEZO UNAVO KWENDA.. IKIWA HUTAKU USIJE KUSAGA MENO MBELENI UKITAFUTA HATA KIPANDE CHA MKATE NCHI NI HAKUNA!!
 
Tindo JF ambapo CIA operators mpo,sio representative of Tanzania.You are living in an illusion.Tanzanians love Magufuli,maombolezo yake proved it.Hakuna kiongozi ambaye ameshawahi kuombolezewa kama JPM.Kama hii haikupi the whole truth,you are indeed stupid.

Ni rais gani alifia madarakani ili tupime?
 
DUNIA HIII YA SASA ALIE JUU NDIO ANAMKULA WA CHINI UNATAKA NI HIVYO HUTAKI NI HIVYO! HATA WW UKIJITIZAMA VZR UTAJIKUTA NA WW PIA NI BEBERU KWA NAMNA FULANI KTK JAMII YAKO INAYOKUZUNGUKA AU UNA KITABIA CHA KIU BEBERU FLANI AMAZING...! [emoji28]
Pumbafu kabisa,mimi sio beberu,nakula what belongs to me,sio nisichopanda.
 
Kama kwenda shule ni kukubali kupigwa,basi hiyo shule sihitaji na ilikuwa chaka la kufundisha ujinga na utaahira.
UNACHOTAKA WEWE UISHI KWA AMANI AU UNATAKA HIZO TANZANITE NA PETROL ULETEWE WEWE HAPO SITTINGRUM KWAKO UVITOLEE MACHO?UKIKATAA KUFANYA BUSINESS NA USA UTAFANYA NA MWENGINE ALL IN ALL LAZMA UFANYE BUSINESS BABA SABABU HUNA UWEZO WA KUTENGENEZA HATA KIJITI CHA MENO KAA UTULIE ELIMU YAKO NCHINI MBOVU SIASA YENU MBOVU VILE VILE UMETOKEA CHAMA KIBOVU HLF UNATUDANGANYA ETI MABEBERU WACHA WAKUJE MABEBERU TUPATE TUMASLAI TUDOGO KULIKO VIENDE CHATO VIKAJENGE MBUGA NA AIRPORT KIJIJINI AU MKOA UJAO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]#MKOAMYFOOT
 
Serikali inatosha kuwa beberu yenyewe kama ilivyo kwa wananchi wake na sijawahi kuskia nchi imefilisika sababu ya investors ikiwa contract inaeleweka vzr na km unazungumzia mzungu aje tu nchini achukue madini na dhahabu bure serikali isipate kitu hakuna kitu hiko series na movies na hata novels zisikudanganye! Ni mtu mjinga akasign mkataba mbovu kwa tamaa ya zawadi ndogo ndogo alizodanganyiwa nazo!!!! Ningemkubali kama awamu yake ya kwanza tu akabadili katiba ningemuona mtu kinomaa lkn na yy mpuuuuuzi tu bora alivotangulia!
 
Ni rais gani alifia madarakani ili tupime?
Alifia madarakani kwa kuwa aliwapenda wananchi wake upeo na aliadhimia kulinda resources za Watanzania na kwa hili mabeberu wakaona he was not worth living.Wamefanya hivyo kwa viongozi wengi Duniani,Magufuli sio exception.Walimuua Patrice Lumumba,Samora Machel,Gadafi,Sadam,Kennedy,Nkurunzinza nk.nk..
 
UNACHOTAKA WEWE UISHI KWA AMANI AU UNATAKA HIZO TANZANITE NA PETROL ULETEWE WEWE HAPO SITTINGRUM KWAKO UVITOLEE MACHO?UKIKATAA KUFANYA BUSINESS NA USA UTAFANYA NA MWENGINE ALL IN ALL LAZMA UFANYE BUSINESS BABA SABABU HUNA UWEZO WA KUTENGENEZA HATA KIJITI CHA MENO KAA UTULIE ELIMU YAKO NCHINI MBOVU SIASA YENU MBOVU VILE VILE UMETOKEA CHAMA KIBOVU HLF UNATUDANGANYA ETI MABEBERU WACHA WAKUJE MABEBERU TUPATE TUMASLAI TUDOGO KULIKO VIENDE CHATO VIKAJENGE MBUGA NA AIRPORT KIJIJINI AU MKOA UJAO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]#MKOAMYFOOT
Nataka biashara ya win win,sio kuibiwa.Acheni utaahira.
 
Alifia madarakani kwa kuwa aliwapenda wananchi wake upeo na aliadhimia kulinda resources za Watanzania na kwa hili mabeberu wakaona he was not worth living.Wamefanya hivyo kwa viongozi wengi Duniani,Magufuli sio exception.Walimuua Patrice Lumumba,Samora Machel,Gadafi,Sadam,Kennedy,Nkurunzinza nk.nk..
Angebadili katiba aliogopa km sio gogoro la afya katiba ingemmaliza yy na wafuasi wake na walomueka pale katiba ikiwepo imara hata ww ukiekwa utafanya vzr na utaheshimy mali za umma ukileta ujinga kitanzi!!
 
Serikali inatosha kuwa beberu yenyewe kama ilivyo kwa wananchi wake na sijawahi kuskia nchi imefilisika sababu ya investors ikiwa contract inaeleweka vzr na km unazungumzia mzungu aje tu nchini achukue madini na dhahabu bure serikali isipate kitu hakuna kitu hiko series na movies na hata novels zisikudanganye! Ni mtu mjinga akasign mkataba mbovu kwa tamaa ya zawadi ndogo ndogo alizodanganyiwa nazo!!!! Ningemkubali kama awamu yake ya kwanza tu akabadili katiba ningemuona mtu kinomaa lkn na yy mpuuuuuzi tu bora alivotangulia!
Yes,tunataka contracts zinazoeleweka sio wizi:win win.That is what I hope Umoja Party will stand for.
 
Angebadili katiba aliogopa km sio gogoro la afya katiba ingemmaliza yy na wafuasi wake na walomueka pale katiba ikiwepo imara hata ww ukiekwa utafanya vzr na utaheshimy mali za umma ukileta ujinga kitanzi!!
Nimeshasema,katiba ni chaka la mabeberu kuingiza ushenzi wao.Na ndio maana Covert CIA Operators wanaitaka kwa nguvu zote.Sisi tunasema katiba sio muhimu sana,what matters most ni POLITICAL WILL.You may have the best constitution in the World,lakini kama hakuna political will everything will come down to zero.
 
Alikua not worth living alipoanza kuchukua kwanzia uenyeviti wa mtaa,udiwani,ubunge tz nzima kwa nguvu bila kupingwa kwa kudhulumu wananchi wenye maono tofauti na yy na kuwaua wengine!!

La pili alikua not worth living alipokua akipokonya wananchi wake mali zao kwa kuwafunga jela kuwateka kuwatishia maisha!!

Alikua not worth living president sababu alishindwa kutoa ajira kwa wananchi wake na kuwaongezea mishahara ambayo ilikua kila mwaka huongezwa na ajira kutolewa yy aliziba masikio hakutaka kabisa

Alikua not woorth living president kwa kuhatarisha maisha ya watanzania kwa kusema hakuna corona tz wengi walifariki sababu yake

Alikua hafai kabisaaaaa huyu trust me mnyonge anapokonywa ardhi au kijumba chake sababu yeye tinga tinga alokosa maaarifa na pesa amewavunjia hlf hakuna alichofanya sababu ilikua wapo kwny ramani ya reli nadhani alichukia kuona wanyonge wengine wana sehem za kulala.

Alikua hafai sababu alikua muongo namba 1.
 
Back
Top Bottom