Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Damu zipi,hizo picha za Kivu na CAR.Anyway,tunachosena ni hiki tushirikiane wote kuiletea nchi yetu maendeleo,kusitokee mmoja wetu akawa Covert CIA operative or whatever akatuvuta miguu nyuma,hiyo haitakubalika.

Sawa ila hilo sio kwa kupitia hicho chama cha sukuma gang. Wauaji wakubwa nyie.
 
Magufuli alishatangulia mbele za haki.Sio lazima aliyofanya yeye yafanywe na Umoja Party.Alifanye yale wakati ule kwa sababu ya mazingira ya siasa ya wakati ule.Kama mazingira ya kisiasa mazuri yapo,kwa nini utumie extraordinary measures.Unatumia extraordinary measures in extraordinary circumstances.

Kwa taarifa yako hakuna kiongozi aliendesha siasa za kihayawani kama yeye, kama mliamini zile propaganda zake mkadhani anapendwa sana, sasa chukueni mrejesho. Yule alikuwa kiongozi muovu na mshenzi kupita maelezo.
 
Maoni yangu waanzilishi hawatakosekana akina Professor Jalalani, Bashiru, Ndugai, Waziri wa Ardhi aliyetenguliwa, Polepole,baadhi ya Sukuma gang, Tajiri wa Tigo nk...
 
Kwa taarifa yako hakuna kiongozi aliendesha siasa za kihayawani kama yeye, kama mliamini zile propaganda zake mkadhani anapendwa sana, sasa chukueni mrejesho. Yule alikuwa kiongozi muovu na mshenzi kupita maelezo.
Wala siasa za Hayati Magufuli hazikuwa za kihayawani.Unaona zilikuwa za kihayawani kwa kuwa wewe ni hayawani,ambaye alikuwa anajaribu kukurudisha kwenye mstari.Hayawani atapenda kuongozwa na hayawani mwenzie tu,huo ndio ukweli.
 
Sawa ila hilo sio kwa kupitia hicho chama cha sukuma gang. Wauaji wakubwa nyie.
Nikuulize swali,and please be courageous to answer me.Kama wewe ungekuwa Rais wa Tanzania,halafu mtu kwa tamaa zake za kishenzi anashirikiana na mabeberu kuliibia taifa resources zake na kuli-sabotage kwa nia ya kulirudisha nyuma kwa ujumla,ungemfanyaje mtu huyo,and you have all intelligence evidence that he or she is a CIA covert operator.
 
Maoni yangu waanzilishi hawatakosekana akina Professor Jalalani, Bashiru, Ndugai, Waziri wa Ardhi aliyetenguliwa, Polepole,baadhi ya Sukuma gang, Tajiri wa Tigo nk...
Sukuma gang ndio nini?This is an imaginery group which cannot be proved that it exsists.Claim hii ina nia ovu ya kupaka matope yeyote mwenye nia njema na taifa letu na kutetea maslahi yake.This concept has its roots in hell.
 
Wala siasa za Hayati Magufuli hazikuwa za kihayawani.Unaona zilikuwa za kihayawani kwa kuwa wewe ni hayawani.Alikuwa anajaribu kukurudisha kwenye mstari.Hayawani atapenda kuongozwa na hayawani mwenzie tu,huo ndio ukweli.

Sisi hatukuwa wake zake, alipaswa kumrudisha mke na watoto wake kwenye mstari. Anaturudisha kwenye mstari kwa kupora uchaguzi ili tutawaliwe na ccm kwa shuruti?
 
Nikuulize swali,and please be courageous to answer me.Kama wewe ungekuwa Rais wa Tanzania,halafu mtu kwa tamaa zake za kishenzi anashirikiana na mabeberu kuliibia taifa resources zake na kuli-sabotage kwa nia ya kulirudisha nyuma kwa ujumla,ungemfanyaje mtu huyo,and you have all the intelligence evidence that he or she is a CIA covert operator.

Mabeberu wanaiba nini, mama Samia ndio huyo siku sijui ya saba leo yuko huko kwa mabeberu mbona hamumpigi risasi, au mwanaccm akiongea na wazungu anakuwa malaika? Kama kuna kitu cha maana hapa nchini kinachotakiwa na hao mabeberu, mbona wakoloni wameondoka miaka 60 na bado sisi ni nchi masikini? Hizo raslimali mbona hazijaondoa huo umasikini?

Isitoshe ni kipi hao mabeberu wanakikosa kwa ccm mpaka wamtumie Lisu kukipata? Ni hivi, alikuwa kiongozi muovu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi dhalimu bila damu kumwagika. Imeisha hiyo.
 
Mabeberu wanaiba nini, mama Samia ndio huyo siku sijui ya saba leo yuko huko kwa mabeberu mbona hamumpigi risasi, au mwanaccm akiongea na wazungu anakuwa malaika? Kama kuna kitu cha maana hapa nchini kinachotakiwa na hao mabeberu, mbona wakoloni wameondoka miaka 60 na bado sisi ni nchi masikini? Hizo raslimali mbona hazijaondoa huo umasikini?

Isitoshe ni kipi hao mabeberu wanakikosa kwa ccm mpaka wamtumie Lisu kukipata? Ni hivi, alikuwa kiongozi muovu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi dhalimu bila damu kumwagika. Imeisha hiyo.
A very stupid answer indeed.Wewe ni CIA covert operator per se,your comment proves it,na kama usipoacha uovu wako,omba Umoja Party isiingie Ikulu.
 
Sisi hatukuwa wake zake, alipaswa kumrudisha mke na watoto wake kwenye mstari. Anaturudisha kwenye mstari kwa kupora uchaguzi ili tutawaliwe na ccm kwa shuruti?
So ulitaka saboteurs waachwe wa-sabotage nchi?Kwa serikali makini na inayojali wananchi wake lazima ishuhulikie saboteurs,and that is what Magufuli did,and if you faced his wrath you deserved it,no regrets.
 
A very stupid answer indeed.Wewe ni CIA covert operator per se,your comment proves it,na kama usipoacha uovu wako,omba Umoja Party isiingie Ikulu.

Kuna nini cha maana nchi hii wazungu wanakitegemea? Sio umoja party kuingia ikulu, sema sukuma gang kuingia ikulu. Kama dhalimu tulimpa ukweli wake, ndio itakuwa nyie warembo mnaishinda na madera?
 
So ulitaka saboteurs waachwe wa-sabotage nchi?Kwa serikali makini na inayojali wananchi wake lazima ishuhulikie saboteurs,and that is what Magufuli did,and if you faced his wrath you deserved it,no regrets.

Nchi gani, au yule mlevi wa madaraka alikuwa anakuchanganya na zile propaganda zake za kihanithi?
 
Ni mwendo wa kunata na beat tu.
Ila kwa yanayoendela sasahivi nashawishika kukubaliana na wafuasi wa Magu, jamaa alikuwa mtu kwelikweli.
 
Kuna nini cha maana nchi hii wazungu wanakitegemea? Sio umoja party kuingia ikulu, sema sukuma gang kuingia ikulu. Kama dhalimu tulimpa ukweli wake, ndio itakuwa nyie warembo mnaishinda na madera?
Comments zako zina-onyesha kwamba you worship the West,you are stupid,brainwashed and very ignorant.Mtu kama wewe was a legitimate pray for Magufuli.
 
Comments zako zina-onyesha kwamba you worship the West,you are stupid,brainwashed and very ignorant.Mtu kama wewe was legitimate pray for Magufuli.
Sijawahi kuamini siasa za kimaskini boss. Ww kwakuwa umetoka huko maporini umasikini kwako unaona ni sifa.
 
Magufuli hakuwa na propaganda,unless hujui maana ya propaganda.He was a man of action,no politicking and bla blas.

Kwa mshamba kama ww hakuwa mtu wa propaganda, ila kwa watu wastaarabu tunajua yule alikuwa shetani kwenye umbile la binadamu.
 
Ukabila, udiktekta moja kwa Moja hicho chama kishakataliwa na wananchi.
Hicho kinaokila mrengo wa ukanda na ukabila,kama falsafa ni hizo wanazofikiria kuzifuata.Na mbaya zaidi ni mahodari wa kusingizia wenzao wanaendesha vyama vyao Kwa misingi ya ukanda na ukabila.
 
Comments zako zina-onyesha kwamba you worship the West,you are stupid,brainwashed and very ignorant.Mtu kama wewe was a legitimate pray for Magufuli.
We ni mbabe sana wa hao ndumilakuwili, maana si kwa kuwawashia moto namna hiyo [emoji847]
 
Back
Top Bottom