Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Karibuni kwenye ulaji wa Keki ya Taifa..., Ndio ajira pekee iliyobaki hii nchi ya giza
 
Tumieni akili zenu mlizopewa na Mungu,msishikiwe akili.Ninyi mmeshikiwa akili,sio independent thinkers.Soft Power ya mabeberu imewaharibu.
Mabeberu mimi sijawhi waona ila ukoloni wa Magufuri kwa Tanzania huru nimeuona na sitasahau ule ukoloni.
 
Watanzania wote lazima tuwe wamoja na tushirikiane katika kuiletea nchi yetu maendeleo.Anayeshirikiana na mabeberu katika njia yeyote ile kuturudisha nyuma,huyo si mwenzetu.

Mbona Magufuli kakopa trillion 22 kutoka kwa hao mabeberu.
 
Aliyeongea naye Ni mwananchi. Huyo Magufuli alizuia siasa kwa miaka mitano, je hicho chama na chenyewe kikizuiliwa kufanya siasa miaka mitano kitakubali?
Magufuli alishatangulia mbele za haki.Sio lazima aliyofanya yeye yafanywe na Umoja Party.Alifanye yale wakati ule kwa sababu ya mazingira ya siasa ya wakati ule.Kama mazingira ya kisiasa mazuri yapo,kwa nini utumie extraordinary measures.Unatumia extraordinary measures in extraordinary circumstances.
 
Political will ndilo jambo muhimu zaidi.Katiba bila political will is useless.Hayati Magufuli alifanya wonders na Katiba ya mwaka 1977.

Wonders zipi? Za kuteka watu na kuwaua. Na kujifanya yet ndio kila kitu? Wonders za watu wasiojulikana?
 
Magufuli alishatangulia mbele za haki.Sio lazima aliyofanya yeye yafanywe na Umoja Party.Alifanye yale wakati ule kwa sababu ya mazingira ya siasa ya wakati ule.Kama mazingira ya kisiasa mazuri yapo,kwa nini utumie extraordinary measures.Unatumia extraordinary measures in extraordinary circumstances.

At least nimekuelewa Sasa. So mtachukua mazuri na mabaya mtayaacha. Naomba uwape huu ushauri wenzako wa hicho chama.
 
Wonders zipi? Za kuteka watu na kuwaua. Na kujifanya yet ndio kila kitu? Wonders za watu wasiojulikana?
Sina haja ya kuzitaja,Wananchi wanazijua na naamini hata wewe unazijua.Don't pretend.
 
Mbo
Wananchi wataamua 2925.Leteni picha kutoka kokote:Central African Republic;Jimbo la Kivu,DRC;lakini hazitabadilisha mawazo ya Watanzania.Magufuli was simply their best.

Hata hivyoo,kama ushahidi wote upo kwamba unashirikiana na mabeberu au foreign entities kurudisha nyuma maendeleo ya Watanzania,uchekewe!? I hope not.
[/QUOTE

Tatizo Ni pale mnapokataa ukweli na kukubali marekebisho. Miili ilikutwa ufukweni mwa bahari, Waziri mwigulu akasema Ni wahamiaji haramu kutoka Ethiopia.
 
Aliyeongea naye Ni mwananchi. Huyo Magufuli alizuia siasa kwa miaka mitano, je hicho chama na chenyewe kikizuiliwa kufanya siasa miaka mitano kitakubali?

Acha waendelee kuenzi ujinga,,
 
Hicho sio chama ni genge la wahuni tu,falsafa gani za wizi wa kura,Ufisadi na kuteka na kuua watu? Hili genge likipewa usajili ntaamini nchi yetu imelaaniwa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Political will ndilo jambo muhimu zaidi.Katiba bila political will is useless.Hayati Magufuli alifanya wonders na Katiba ya mwaka 1977.
Hicho Chama kitawezaje kupata hata mbunge kwa mazingira ya kisiasa ya Tanzania aliyoyaacha Magufuli, achilia mbali kuingia Ikulu
 
Hicho Chama kitawezaje kupata hata mbunge kwa mazingira ya kisiasa ya Tanzania aliyoyaacha Magufuli, achilia mbali kuingia Ikulu
Mh,wewe unaishi Tanzania kweli?Ok,wale wale waliomuombolezea msiba wake,ndio hao hao watakao mchagua 2025 kupitia Umoja Party. Anyway,tusubiri,this is a developing story.

Kuhusu Wabunge watapatikana kutoka CCM na kwingineko.Tunataka umoja katika nchi yetu,walionacho na wasionacho.Tunataka chama kinachotawala kiwe cha wote,walio nacho na wasio nacho;wakulima na wafanya kazi;Wamachinga na Bobaboda.
 
Mh,wewe unaishi Tanzania kweli?Ok,wale wale waliomuombolezea msiba wake,ndio hao hao watakao mchagua 2025 kupitia Umoja Party. Anyway,tusubiri,this is a developing story.

Kuhusu Wabunge watapatikana kutoka CCM na kwingineko.Tunataka umoja katika nchi yetu,walionacho na wasionacho.Tunataka chama kinachotawala kiwe cha wote,walio nacho na wasio nacho;wakulima na wafanya kazi;Wamachinga na Bobaboda.
Hujaelewa .
Kwa Hali ilivyo Sasa, vyama haviruhusiwi hata kufanya mikutano ili kujieneza
Na wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa CCM ambao Rais anawaambia wasitangaze mpinzani
Sasa umoja party hata Kama Wana support mazingira yamehodhiwa na Chama tawala
 
Watanzania wote lazima tuwe wamoja na tushirikiane katika kuiletea nchi yetu maendeleo.Anayeshirikiana na mabeberu katika njia yeyote ile kuturudisha nyuma,huyo si mwenzetu.
Mama yuko KWA beberu anakula bata
 
Wonders zipi? Za kuteka watu na kuwaua. Na kujifanya yet ndio kila kitu? Wonders za watu wasiojulikana?
Ila hili suala la kuteka na kuua mbona lipo kwenye hii nchi toka enzi za mwalimu, na lipo duniani kote.
Dr Ulimboka ilikua lini anatekwa na kung'olewa kucha kisha kutelekezwa msituni?

Mauaji ya Imran Kombe ilikua lini, na nikizama kutafuta matukio yanayoshabihiana na haya ni mengi..

Jpm alikamata simu za January akimteta, je alimteka, alimuua?

Tatizo hamtaki wanyonge wapewe haki zao. Kwenye suala la huduma za kijamii wanyonge walionewa sana, wafanyakazi wengi waliwaheshimu wananchi wa chini ya JPM.

Mpigaji yeyote yule point yake ni utekaji na uuaji kama ndilo jambo pekee walioliona kwenye uongozi wa JPM, mkiacha mazuri yote na mkaona alichofanya for 5 years ni utekaji na uuaji.
 
Watanzania

Haya mambo ya Umoja Party ni sehemu tu ya upuuzi unaonedelea ktk taifa letu wa kuwa hawa wengi wanasifu Na hawa wachache wanakosoa uongozi wa awamu ya 5 basi wale wanaosifu wanaitwa sukuma Gang Na wanaokashifu wanaitwa team msoga.

Huu upuuzi unalipeleka taifa pabaya.
 
Back
Top Bottom