William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #41
Naona signnature ya uCO umeshaivua. Naona umemwaga namba yako, thanks but no thanks.
- Sawa huu nao ni ushauri mzito sana kwa chama, thanks.
William: (Community Organizer).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona signnature ya uCO umeshaivua. Naona umemwaga namba yako, thanks but no thanks.
Napenda unavyojibu hoja bila hasira,una talent bro- Sawa huu nao ni ushauri mzito sana kwa chama, thanks.
William: (Community Organizer).
Malecela,- Ahsante sana ndugu kwa ushauri wako mzito sana, ndio maana tukaja hapa kwenye Great Thinkers ni ili kupata ushauri mzito kama huu wako.
Ahsante.
William.
KJ ru serious?Unaweza kutuhabarisha ilikuwa vipi?Mkuu Malecela vipi kuhusu huo ukabila,bado upo ama nao umebarikiwa mkuu?Malecela,
Magnificent responce to some artful contrieved and provocating arguments.
However, we ought not to forget that the last time NYokers tried to form an association, the move failed due to some elements of tribalism.
What I am seeing in this new movie, is an effort to make sort of gov/CCM contolled association led by the same names we meet at the embassy or their associates.
- Can't the Tanzanians form an association that is not influenced by those in power?
- Kwa nini watu wa ubalozini wasiondolewe kwenye kuongoza hiki chama?
We yako fupi huh?Wewe ulipo qoute posting yangu kwa question marks ulikuwa na maana gani?Wewe ndiye uliassume kuwa nilimaanisha kuwa Balozi Majaar yuko tayari US?Ama na wewe unatafsiri word to word?Yani wewe uliassume kuwa nimesema kwa hakika kabisa kuwa Bi Majaar ndiye atakayefungua chama hicho,sasa tizama safari yako na wewe uone huo ufupi wake.
Mkuu,
Kama unashindwa kuelewa maana ya alama mbali mbali katika lugha,sasa nikuelewe vipi.
Kwa kukuelewesha tu...Alama ? =alama ya kuuliza(qstn mark)
Alama !=Mshangao
So mimi sikushangaa bali niliuliza maana ya maneno niliyo-quote frm your post.Maanake nilitaka kueleweshwa.Acha kukurupuka mkuu,una safari ndefu sana kama huelewi hata tofauti ya alama ndogo kama hizo.Sitaki kubishana na wewe,lol
Mimi bado sijaelewa kwa nini mlioona umuhimu wa kutafuta baraka za baadhi ya potential members. Hamuoni kwa kufanya hivyo mmeishaanza kuweka tabaka za wale walio muhimu kwa chama na wanachama wa kawaida? Kwani Chama kingeathirika vipi kama pasingekuwepo hizo baraka? Kwa kufanya mlivyofanya mnampa uwezo huyo aliyowapa baraka kuweza kuondoa baraka zake. Kitu muhimu katika chama chochote ni wanachama wake wote kuwa sawa bila kujali nafasi zao, uwezo wao wakipesa, umri wao, jinsia yao n.k. Kwa kufanya mlivyofanya mnaonekana kuwa bado mnakumbatia imani ya ki-imla ambayo kwa kiasi kikubwa imetufikisha hapa tulipo.
Amandla......
Malecela,
Magnificent responce to some artful contrieved and provocating arguments.
However, we ought not to forget that the last time NYokers tried to form an association, the move failed due to some elements of tribalism.
What I am seeing in this new movie, is an effort to make sort of gov/CCM contolled association led by the same names we meet at the embassy or their associates.
- Can't the Tanzanians form an association that is not influenced by those in power?
- Kwa nini watu wa ubalozini wasiondolewe kwenye kuongoza hiki chama?
- Ndugu zangu wananchi wote wa Tanzania mnaoishi mjini New york na vitongoji vyake, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Muda Ndugu Khaji, ninaomba kuwatangazia tangazo la tangulizo kuhusu kusajiliwa kwa chama kipya chenye lengo la kuwajumuisha Wa-Tanzania wote katika maeneo ya New York na vitongoji vyote vya karibu.
- Sasa hivi chama hiki kipya kipo mbioni pia kuanzisha mtandao wake, yaani Website na pia kupata katiba yake kwa mujibu wa makubaliano ya wanachama, pia chama hiki kina viongozi wa muda ambao ndio hasa waliojitolea katika kuweka msingi wa hiki chama, ambacho baada ya kukamilika kwa usajili wake, tutasema rasmi ni lini kutakuwa na mkutano wa Wa-Tanzania wote, ili kuweza kupanga agenda za kujiaandaa na uchaguzi wa viongozi, pamoja na kupitisha katiba ya chama, ninarudia tena kwamba nia na madhumuni ni kuwajumuisha wananchi wote bila kumbagua yoyote yule.
- Tungependa kupokea mawazo na new ideas zaidi, kuhusiana na chama kilipo sasa na mwendo wake mbele ya safari, ingawa kwa sasa tayari chama hiki kimeshapata baraka za Balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa NY, ingekua vyema pia tukasikilzia mawazo na the new ideas za wananchi wote wa New York na wengineo pia, wote mnakaribishwa sana.
Tutaendelea kufahamishana yatakayojiri mbele ya safari yetu, inshallah.
Ahsanteni.
William (CO) : Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano (Interim)
- so far wazee wote waliokuwa consulted ni watu mahiri sana katika proffesionals zao ambazo zinagusa uanzishwaji wa chama, uongozaji wa chama na uimarishaji wa chama, sasa unapoanza kulima mahindi ni shurti uende kwanza kwa walima mahindi kupoata ushauri na dnio hasa alichokifanaya Mwenyekiti wa muda Ndugu Khajim, kupata ushauri wa waliobobea na hizo fani kwanza, ndio baadaye ashukle kila kunakotakiwa.
Ahsante Sana.
William : CO na msemaji wa chama (Interim).
Bado Mkuu haujanijibu. Kutafuta baraka na ushauri ni vitu viwili tofauti. Halafu inabidi mtambue chama chenu kiko katika context tofauti na zile ambazo hao wazee mahiri walipata uzoefu wao. Mngeanzisha chama alafu muwakaribise wachangie kama wanacama wengine. Kujaribu kukamilisha kila kitu kabla hata chama chenyewe hakijaanzishwa ndiyo mwanzo wa kukosa transparency. Maamuzi yote muhimu ilibidi na inabidi yafanywe kwa uwazi na ushirikiswaji wa wanachama. Hivi vikao vya ushauri vya jikoni ndiyo mwanzo wa kuwafanya wanachama wakose imani na nyie viongozi wao.
Amandla......
Malecela,
Magnificent responce to some artful contrieved and provocating arguments.
However, we ought not to forget that the last time NYokers tried to form an association, the move failed due to some elements of tribalism.
What I am seeing in this new movie, is an effort to make sort of gov/CCM contolled association led by the same names we meet at the embassy or their associates.
- Can't the Tanzanians form an association that is not influenced by those in power?
- Kwa nini watu wa ubalozini wasiondolewe kwenye kuongoza hiki chama?
Ningependa kujiunga na hiki Chama,ingawa sasa hivi sipo New York. Kwa hiyo tafadhali niweke katika orodha ya wanachama,mimi Andrew Nyerere.
Hiki ni chama au jumuiya? Kama ni jumuiya naomba kujiunga. Ila kama ni chama mimi simo!
- Unaona sasa ndio maana tulikuja hapa kwenye wazoefu wa hizi shughuli, binafsi sikujua tofauti maana nllipoona neno Community kwenye jina la chama nilifikiri lina-present Jumuiya na kwa kawaida tumezoea kuita Community kuwa ni chama ingawa ninaamini ni Jumuiya, ahsante kwa marekebisho mkuu hii ni Jumuiya, tunaita chama kwa sababu ya mazoea tu, na karibu sana mkuu tutahitaji sana kuwa na viongozi wenye upeo wa juu sana kielimu kama wako.
Ahsante.
William. (CO)
Kama hutaki kubishana unachofanya ni nini?Acha ligi za mchangani wewe,unatoa wapi muda kuandika upupu?Unapojibu post nzima kwa questions mark siwezi kujua nini haswa unachouliza,mbona unaweweseka bila sababu?
Sina muda mchafu FYI