Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja. 👍👍👍👍Msingi wa uwepo wa chama ni siasa na uchaguzi Mtima wa Siasa za vyama vingi.
Unapokuwa na chama kinachotoa visingizio wakati wa uchaguzi na kutupigia kelele wakati kufanya maendeleo.Vyama vya namna hii vinapaswa kufutwa mara moja.
Maruhani yameshaanza kuwapanda kichwani😂Msingi wa uwepo wa chama ni siasa na uchaguzi Mtima wa Siasa za vyama vingi.
Unapokuwa na chama kinachotoa visingizio wakati wa uchaguzi na kutupigia kelele wakati kufanya maendeleo.Vyama vya namna hii vinapaswa kufutwa mara moja.
Ni uchafuzi kwa kutumia rasilimali za nchiTanzania hakuna uchaguzi huru na haki lakini Kuna maigizo ya uchaguzi.Maana mshindi huwa anajulukana ni ccm Kwa sababu polisi,tiss na tume ya uchaguzi huiba kura ili kukiwezesha chama Cha majambazi kushinda
Jinga la wanao wewe.Msingi wa uwepo wa chama ni siasa na uchaguzi Mtima wa Siasa za vyama vingi.
Unapokuwa na chama kinachotoa visingizio wakati wa uchaguzi na kutupigia kelele wakati kufanya maendeleo.Vyama vya namna hii vinapaswa kufutwa mara moja.
Haina tofauti na kumwambia mtu, Lima vizuri na upalilie lakini usivune, mimi nitavuna wakati huawekeza lolote.Msingi wa uwepo wa chama ni siasa na uchaguzi Mtima wa Siasa za vyama vingi.
Unapokuwa na chama kinachotoa visingizio wakati wa uchaguzi na kutupigia kelele wakati kufanya maendeleo.Vyama vya namna hii vinapaswa kufutwa mara moja.
Mkuu, na Chama ama Vyama vitakavyo bainika kuandikisha watanzania wenye umri chini ya miaka 18 navyo vifutwe kabisa.Chama kinachoteka na kuuwa watu kifutwe