Elections 2010 Chama kizee,viongozi wazee,mambo zeeeeeeeeeee!

Elections 2010 Chama kizee,viongozi wazee,mambo zeeeeeeeeeee!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Imebainika kuwa kushindwa kwa Chama cha Mapinduzi katika kuongoza Taifa hili kunatokana na uzee uliokizunguka chama hicho kila kona. Viongozi wake wote wakuu ni wazee wa zaidi ya miaka 60;

Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu. Pamoja na uzee kusifika kwa hekima na busara, lakini uzee huondoa bidii, nguvu, ubunifu na kujituma.
Uzee wa CCM na viongozi wake unatugharimu.........
 
Uzee wa CCM umesababisha mauaji ya Nyamongo....
 
Back
Top Bottom