Chama la mnyama shamba la bibi leo

Chirwa.Ajibu.Tambwe .Ngoma wakicheza kwa pamoja alafu mnyama asifungwe..tunawauza wote dirisha dogo
 
Jipeni matumaini lakini mtapokea kichapo cha heavy weight
 
Maneno maneno waachie akina hadija kopa dkk 90 ndo zitaongea
 
Simba nguvu moja.

Hivi yule dada Nifah aliishia wapi na yeye alikuwa Yanga lialia!!
 
Ndoto ikienda kombo, tafadhali msing'oe viti shamba la bibi.
Na Ndoto zina kawaida ya kwenda kinyume!
 
Simba nguvu moja.

Hivi yule dada Nifah aliishia wapi na yeye alikuwa Yanga lialia!!

Mademu huwa hawatabiriki timu ya bwanaake ndio timu yake anakopenda msela wake nayeye ndio huko huko..ukute kampiga chini bwanaake shabiki wa yeboyebo sasa abebwa na jamaa wa msimbazi Nifah sasa ni mnyama damu na ukute yupo taifa kavaa jezi no 8 ya NIYONZIMA
 
Mkuu iyo picha ya mwisho ndio vipiii kila la heri mnyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…