ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwa wenzangu wa camp nou, jamani tupo sawa kweli? Tukumbuke tuko No 2 msimamo la liga
Psv ni timu yakuishinda 2-1 kweli? Tena wametukosa nyingi za wazi!
Vipi tukikumbana na psg Kwa hali hii?
Naogopa Sana, kiasi tumedrop jamani
Tatizo Valvede? Nini tatizo tusaidiane mawazo hapa
Psv ni timu yakuishinda 2-1 kweli? Tena wametukosa nyingi za wazi!
Vipi tukikumbana na psg Kwa hali hii?
Naogopa Sana, kiasi tumedrop jamani
Tatizo Valvede? Nini tatizo tusaidiane mawazo hapa