Chama na Kapama wasimamishwa Simba

Chama na Kapama wasimamishwa Simba

Chama kasema asipopangwa kocha litamkuta jambo ingia IG yake uone majibu yake.
 
Mechi AMBAZO CHAMA hachezi,..SIMBA inatafuta ushindi kwa taaabu sana....

Anyway ni utovu gani..!
 
Nyota wa Simba, Clatous Chota Chama na mwenzake, Nassor Kapama wamesimamishwa kuitumikia Klabu hiyo kwa kile kilichoelezwa ni vitendo vya utovu wa nidhamu.

Taarifa ya Simba imeeleza Wachezaji hao watapelekwa katika Kamati ya Nidhamu kwa hatua zaidi za kinidhamu.

Taarifa hiyo imewakumbusha Watumishi wake wote kuzingatia misingi ya maadili na nidhamu kwa kuwa Klabu haitasita kumchukulia hatua yeyote atakaethibitika kwenda kinyume na utaratibu huo.

View attachment 2849131
Pale mchezaji anapokuwa mkubwa kuliko club, kazi kwenu mlitusakama sana kwa swala la Fei baada ya kusema ili yy arudi basi Rais aondoke, haya kazi kweni na ana miaka miwili hapo kasaini juzi tu hapo.
 
Chama na Miquisson walifanya makosa kurudi Simba. Heshima waliyotengeneza kipindi wakiwa wa moto inaenda kupotea. Nawaona wakiondoka kwa fedheha kubwa.
 
Mmesahau alienda vizia Juice za Al Ahaly,Mo alichukizwa sana inamaana Mo Ex nimkojo mpaka aiache.....nidhamuu 0🤣🤣🖐️
Kwa hiyo kosa lake ni kukacha Mo Embe na kwenda kugongea juisi za watengenezaji wengine?
 
Nyota wa Simba, Clatous Chota Chama na mwenzake, Nassor Kapama wamesimamishwa kuitumikia Klabu hiyo kwa kile kilichoelezwa ni vitendo vya utovu wa nidhamu.

Taarifa ya Simba imeeleza Wachezaji hao watapelekwa katika Kamati ya Nidhamu kwa hatua zaidi za kinidhamu.

Taarifa hiyo imewakumbusha Watumishi wake wote kuzingatia misingi ya maadili na nidhamu kwa kuwa Klabu haitasita kumchukulia hatua yeyote atakaethibitika kwenda kinyume na utaratibu huo.

View attachment 2849131
Safi sana!! Klabu yetu ina mfalme mmoja tu n aye ni SMBA SPORTS CLUB!!
 
Nyota wa Simba, Clatous Chota Chama na mwenzake, Nassor Kapama wamesimamishwa kuitumikia Klabu hiyo kwa kile kilichoelezwa ni vitendo vya utovu wa nidhamu.

Taarifa ya Simba imeeleza Wachezaji hao watapelekwa katika Kamati ya Nidhamu kwa hatua zaidi za kinidhamu.

Taarifa hiyo imewakumbusha Watumishi wake wote kuzingatia misingi ya maadili na nidhamu kwa kuwa Klabu haitasita kumchukulia hatua yeyote atakaethibitika kwenda kinyume na utaratibu huo.

View attachment 2849131
Vitu vingine ni kuoneana tu, hata ningekuwa Mimi nisingekubali.

Kwa hadhi ya Chama, sio wa kuambiwa asimame kama koni kwenye mazoezi.
 
Chama hanywi pombe, havuti Sigara, huo utovu wa nidhamu ni upi ?
Au kadai haki yake ?
hata kumgomea mkufunzi ni utovu pia, bila nidhamu taasisi haiwezi kufika popote. Nafikiri Simba wamemlea vibaya sana kiasi hata asipopangwa ama akatolewa sub na timu ikafungwa ni matatizo kwa kocha.

Uongozi simamieni hapo hapo, ajieleze na aombe msamaha ndipo arudi kundini tena kwa masharti ya Club.
 
Chama hanywi pombe, havuti Sigara, huo utovu wa nidhamu ni upi ?
Au kadai haki yake ?
Kwani Juisi za Mo Embe zina shida gani mpaka akazigomea na kwenda kuomba kwa Waarabu?

MO si ni mdhamini na Rais wa heshima wa Club?
 
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Abdelhak Benchikha ametangaza kwamba hamwitaji tena kiungo wa timu hiyo Cleotas Chama na kwamba hatacheza hata kama atabakishwa klabuni hapo.


 
Sasa unashauri auzwe au aachwe ila asugue benchi. Ukisema auzwe basi Hersi yuko na laki 5 ya shilingi mfuko wa shati kama mnataka kama hamtaki miacheni akae bauchi mkataba uishe Hersi amchukue kwa laki
 
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Abdelhak Benchikha ametangaza kwamba hamwitaji tena kiungo wa timu hiyo Cleotas Chama na kwamba hatacheza hata kama atabakishwa klabuni hapo.


Kila jambo na wakati wake, "utoto, ujana na uzee".

Akina Sekilojo Chambua, Athuman Idd Chuji nao walifanya makuu lakini muda ni ukuta.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom