Chama na kipa Ally ndio walioiondosha Simba mashindanoni

Chama na kipa Ally ndio walioiondosha Simba mashindanoni

Ya kwamba Widad ni timu dhaifu ?
Kweli mashabiki wa utopolo ni manyani na mambwa kama alivyo sema aliye kuwa kocha wao.
Wydad imeshuka kiwango kabisa. Hii sio Ile Wydad iliyotwaa ubingwa huu wanaoushikilia Sasa. Simba wangeshambulia kipindi Cha pili lazima wangepata goli, lakini ona hata Baleke alipewa kazi ya kuzuia, timu ilikuwa inajilinda kulinda kigoli kimoja Cha nyumbani. Utaona Wydad watapigwa goli nyingi na mamelodi
 
Huyo dogo ally si alisifiwa Kwenye Mechi ya derby na Mechi ya waydad dar, Mpira ni mchezo wa makosa na mwenzako anatumia kukuadhibu jipange next time
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hiyo widad unayo ita dhaifu si ndo iliwafunga vibonde mnacheza nao kwenye kombe lenu la michongo magoli sita bila ?
Inahusiana nn na mada iliyopo , mbona unakuwa mjinga, Yan unafurahia kushindwa ,
 
Ukiona mtu anaanzisha nyuzi za kuwaponda wachezaji huyo mpuuzieni sio mwenzetu...hajui mpira kuwa
siku zote sio alhamis..
Au ni utoooo
Unasahau kuwa hii ni robo finali ya 4 au unajizima data? Ally Salim alidaka penalti lini wapi mechi ipi hadi aaminiwe kwenye mechi kubwa hivi? Ni sababu ipi ya kisayansi iliyomnyima kipa namba 2 kudaka kwenye mechi Ile?
 
Hata hivyo hili ni SoMo kwa Beno Kakolanya, tabia yake itaendelea kumtafuna kila aendako. Aliua kwa upanga kule Yanga ameuawa kwa upanga Huku Simba pia.
 
Wydad imeshuka kiwango, hasa baada ya kuondokewa na wachezaji wake muhimu wa msimu uliopita. Simba wangeweza kufika nusu final kwa kupitia Wydad msimu huu kama sio ujinga wa bench la ufundi, uongozi wa Simba, Chama na Ally Salim.

Wydad waliokolewa na golikipa wao kudaka mikwaju 2 iliyopigwa vizuri na kapo Kapombe na Chama kitu ambacho Ally Salim hakuweza kukifanya kutokana na uchanga wake golini.

Uongozi wa Simba na bench la ufundi kuacha kumtumia Beno Kakolanya kwasababu za kijinga, kipuuzi, kibwege, unsporting na kichawi kukaa langoni kudaka penati na kumuamini kijana kinda kulisababisha Simba kuingia hasara kubwa sana ya kutolewa mashindanoni na timu dhaifu ya Wydad, Ningekuwa mimi ni mo ningemsaka aliyesema Beno kipa namba 2 asikae golini kwenye mashindano haya makubwa baada ya Manula kuumia.

Chama na Kapombe hawakuwa makini na kazi Yao pia ingawa penati huwa hazina mwenyewe lakini "why us" every day tutolewe robo final?

Bench la ufundi lilipaswa kumwingiza Beno kudaka japo penati TU badala ya mtoto Ally ambae aliteseka sana kujirusha chini kwa namna ileile kwa penalti zote.

Swali ni je, Simba itakuwa na ubavu wa kumzuia Inonga abaki Simba? Inonga pekee ndiye aliyepunguza idadi ya magoli siku Ile.
Mikia FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC bana.
 
Kwa upande wangu naona hata kocha pia kachangia.
Ndani ya mchezo wa dakika 90, kocha angekuwa na mkakati wa kutafuta goli angefanikiwa kulipata, kuna muda waarabu walikuwa wameshachanganyikiwa na kukata tamaa na kupoteza umakini kiasi kwamba hata pass zao zinatoka nje kirahisi tu. Hapo angewaingiza watu wenye spidi kama Sakho na phiri kuongeza nguvu, na pia kwavile wanaamua kujilipua lazima Onyango umtoe umuingize hata Kenedy ili ikitokea mashambulizi ya kustukiza kusiwe na shida.

Baada ya dakika 90 kutaka kuisha, kocha angemuingiza Beno kakolanya ili akadake kwenye hatua ya penati. Beno angeweza kusaidia hata ku save penati ili kurudisha wachezaji mchezoni.

Maoni yangu....
kocha aliharibu tangu game ya kwanza. ..Sakho/Phili walitakiwa tangu game ya kwanza. .Ntiba alipotea ilegame lkn kocha hakumtoa,Chama alipotea game ya pili lkn aliacha km game ya kwanza. ..kwangu mm shida siwachezaji bali kocha ndio ilikua ttzo
 
kocha aliharibu tangu game ya kwanza. ..Sakho/Phili walitakiwa tangu game ya kwanza. .Ntiba alipotea ilegame lkn kocha hakumtoa,Chama alipotea game ya pili lkn aliacha km game ya kwanza. ..kwangu mm shida siwachezaji bali kocha ndio ilikua ttzo
Kocha huyu ni kweli alikisea sana. Kwanza alishindwa kujua kuwa baadhi ya wachezaji wake Wana umri mkubwa lakini aliruhusu wachezaji walewale wacheze mechi ya Ihefu, derby, Wydad mechi ya kwanza na Wydad mechi ya pili. Hizi ni mechi kubwa na ngumu zote kuwaacha wachezaji waaalewaaale wacheze dk 90. Pili alikubali kudanganywa kuwa kipa namba 2 hastahili kuweko kiwanjani na tatu kuamua kwenda kupaki basi kule Morocco. Alipaswa kuchezesha wachezaji kwa kuwapunzisha kama Nabi anavyofanya
 
Kwa upande wangu naona hata kocha pia kachangia.
Ndani ya mchezo wa dakika 90, kocha angekuwa na mkakati wa kutafuta goli angefanikiwa kulipata, kuna muda waarabu walikuwa wameshachanganyikiwa na kukata tamaa na kupoteza umakini kiasi kwamba hata pass zao zinatoka nje kirahisi tu. Hapo angewaingiza watu wenye spidi kama Sakho na phiri kuongeza nguvu, na pia kwavile wanaamua kujilipua lazima Onyango umtoe umuingize hata Kenedy ili ikitokea mashambulizi ya kustukiza kusiwe na shida.

Baada ya dakika 90 kutaka kuisha, kocha angemuingiza Beno kakolanya ili akadake kwenye hatua ya penati. Beno angeweza kusaidia hata ku save penati ili kurudisha wachezaji mchezoni.

Maoni yangu....
Acha kuongea kwa hisia wewe.
 
Wydad imeshuka kiwango kabisa. Hii sio Ile Wydad iliyotwaa ubingwa huu wanaoushikilia Sasa. Simba wangeshambulia kipindi Cha pili lazima wangepata goli, lakini ona hata Baleke alipewa kazi ya kuzuia, timu ilikuwa inajilinda kulinda kigoli kimoja Cha nyumbani. Utaona Wydad watapigwa goli nyingi na mamelodi
Hakuna timu dhaifu ikaenda robo fainal ya klabu bingwa,timu dhaifu zote zilitolewa kwenye kilabu bingwa na kutupwa kwenye kombe la vilaza huko wakapambane wenyewe.
Inamaana ikitokea Memirod wakamfunga Wydad basi ni matokeo ya mchezo kwa sababu kwenye mashindano yeyote ni razima mshindi apatikane haijalishi wanao shindana wana uwezo gani.

Ukitaka kujua ugumu wa kuingia robo fainal ya klubu bingwa angalia rekodi ya timu yako Utopolo haijawahi hata kunusa hiyo robo fainal tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 80,makundi yenyewe imeingia mara moja mwaka 1998 mm nikiwa nanyonya leo hii nina familia yanga haijawahi kukanyaga hata makundi ya klubu bingwa.
 
kocha aliharibu tangu game ya kwanza. ..Sakho/Phili walitakiwa tangu game ya kwanza. .Ntiba alipotea ilegame lkn kocha hakumtoa,Chama alipotea game ya pili lkn aliacha km game ya kwanza. ..kwangu mm shida siwachezaji bali kocha ndio ilikua ttzo
Mwacheni kocha ninyi makocha uchwara. Si huyuhuyu kocha Robert aliyezomewa nanyi alipombadilisha chama katika mechi moja ya league? Jifunzeni kupokea matokeo, hayo ya ange, ange, ange... ni upuuzi mtupu.
 
Inahusiana nn na mada iliyopo , mbona unakuwa mjinga, Yan unafurahia kushindwa ,
Kuna upumbavu zaidi ya kuiita timu kama Wydad eti ni dhaifu.
Mashabiki wa utopolo ni manyani kama alivyo sema aliye kuwa kocha wenu.
 
Unasahau kuwa hii ni robo finali ya 4 au unajizima data? Ally Salim alidaka penalti lini wapi mechi ipi hadi aaminiwe kwenye mechi kubwa hivi? Ni sababu ipi ya kisayansi iliyomnyima kipa namba 2 kudaka kwenye mechi Ile?
Kwani mwaka jana alipo daka Manula Simba ilisonga mbele?
Mashabiki wa utopolo ni manyani kama alivyo sema aliye kuwa kocha wenu.
 
Ila binadamu bwana, kweli tenda wema amsha zako! Huyu huyu Chama kawabeba mabegani mara ngapi leo mnamnanga kwa kukosa penalt? Penalt haina mwenyewe kaka... Anyway.. huo ni ugomvi wenu madunduka!!
Vichaa vipo vingi sana, hata cha kulaumu ni kichaa pia.
 
Naomba huu mjadala wa kutolewa Simba sc mashindanoni ufungwe kwa muda, focus iwe kwa Yanga sc ambao wana kibarua kigumu kuivusha nchi jioni ya leo.
 
Wydad imeshuka kiwango, hasa baada ya kuondokewa na wachezaji wake muhimu wa msimu uliopita. Simba wangeweza kufika nusu final kwa kupitia Wydad msimu huu kama sio ujinga wa bench la ufundi, uongozi wa Simba, Chama na Ally Salim.

Wydad waliokolewa na golikipa wao kudaka mikwaju 2 iliyopigwa vizuri na kapo Kapombe na Chama kitu ambacho Ally Salim hakuweza kukifanya kutokana na uchanga wake golini.

Uongozi wa Simba na bench la ufundi kuacha kumtumia Beno Kakolanya kwasababu za kijinga, kipuuzi, kibwege, unsporting na kichawi kukaa langoni kudaka penati na kumuamini kijana kinda kulisababisha Simba kuingia hasara kubwa sana ya kutolewa mashindanoni na timu dhaifu ya Wydad, Ningekuwa mimi ni mo ningemsaka aliyesema Beno kipa namba 2 asikae golini kwenye mashindano haya makubwa baada ya Manula kuumia.

Chama na Kapombe hawakuwa makini na kazi Yao pia ingawa penati huwa hazina mwenyewe lakini "why us" every day tutolewe robo final?

Bench la ufundi lilipaswa kumwingiza Beno kudaka japo penati TU badala ya mtoto Ally ambae aliteseka sana kujirusha chini kwa namna ileile kwa penalti zote.

Swali ni je, Simba itakuwa na ubavu wa kumzuia Inonga abaki Simba? Inonga pekee ndiye aliyepunguza idadi ya magoli siku Ile.
Tushaachana na walioshindwa sasa hivi habari ya mjini ni Yanga kuandika historia mpya kwenye soka la Afrika na Tanzania kiujumla, Atuwezi kukaa tunajadili watu wanaobeba kombe la robo fainali kila msimu ni kama mtoto aliyedumaa kwa kukosa lishe bora ataendelea na udumavu mpaka mwisho wa maisha yake!
 
Acha kuongea kwa hisia wewe.
Huwezi kuzuia hisia zetu kwa maneno rahisi TU hayo. Simba na Yanga ndio furaha zetu, Simba ameukimbia urithi kwa Mama ujue wa 10m kila goli. Sasa hivi watatamba Yanga TU kma nao watapita. Tutaficha wp nyuso zetu?
 
Hakuna timu dhaifu ikaenda robo fainal ya klabu bingwa,timu dhaifu zote zilitolewa kwenye kilabu bingwa na kutupwa kwenye kombe la vilaza huko wakapambane wenyewe.
Inamaana ikitokea Memirod wakamfunga Wydad basi ni matokeo ya mchezo kwa sababu kwenye mashindano yeyote ni razima mshindi apatikane haijalishi wanao shindana wana uwezo gani.

Ukitaka kujua ugumu wa kuingia robo fainal ya klubu bingwa angalia rekodi ya timu yako Utopolo haijawahi hata kunusa hiyo robo fainal tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 80,makundi yenyewe imeingia mara moja mwaka 1998 mm nikiwa nanyonya leo hii nina familia yanga haijawahi kukanyaga hata makundi ya klubu bingwa.
Aaaah we jamaa hujui kuwa hata Marais wa nchi Kuna Marais dhaifu na Marais imara? Marais wezi na Marais waadilifu? Marais waliiopatikana kwa njia za mchogo na Marais waliochaguliwa na wananchi wao? Hivyohivyo, Hata club bingwa Kuna timu dhaifu pia ukilinganisha na nyingine, Simba na Wydad ni miongoni mwao. Simba walifika pale kwa kupitia njia ya Malawi, msumbiji na Uganda, nani aliwapangia hiyo njia hakuna ajuae,
 
Juzi tu mlikuwa mkikesha kutoa list ya matokeo ya Wydad jinsi anavyotoa vipigo akiwa kwake, leo mmegeuka mnasema imeshuka kiwango 😂😂😂😂


View attachment 2604446


Ma-loosers mna taabu kwel kwel 🤣🤣🤣🤣
Hao loosers wa shirikisho yaani kila timu inayopata ugumu kuifunga Simba ni dhaifu.Walitaka Simba igongwe 7 kama matarajio yao kila siku yalivyo huku wakisahau kuwa mpira haupo hivyo.

Sasa sijui wao waliokula mbili mtungi na Simba hao hao watajiita nani.

Yaani wanajidhalilisha sana sijui wamejulia mpira ukubwani kwa maoni ya kipuuzi wakati wao wamebondwa na walizidiwa kwa kila kitu na hao Simba tena wanaowaita ni wazee
 
Back
Top Bottom