Chama ni bora kuliko Nzengeli ndani ya uwanja

Chama ni bora kuliko Nzengeli ndani ya uwanja

Sonimbusilo

Member
Joined
Aug 12, 2024
Posts
12
Reaction score
47
Gamondi, Hersi, piteni na hii:-
Snapinsta.app_456486454_18334413247135476_580604417555583577_n_1080.jpg

Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.

Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.

Hence Chama ni bora kuliko Zengeli
Snapinsta.app_456486622_18334387447135476_4796378768579241782_n_1080.jpg
 
Gamondi, Hersi, piteni na hii:-

Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.

Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.

Hence Chama ni bora kuliko Zengeli

View attachment 3078585
Ndio shida ya mashabiki maandazi wasiojua mpira, Zengeli anafanya kazi nyingi kwa wakati mmoja halafu mnampima Chama dhidi ya timu dhaifu ya Vital 'O'
 
Mashabiki wa simba wanatumia kila mbinu kutaka kuonyesha Chama ni bora.

Lengo ni kutaka kuondoa aibu ya chama kuwa tegemeo alipokuwa simba na kuanzia benchi akiwa Yanga hasa kwenye mechi muhimu.

Simba kubalini tu Chama huwezi kumfananisha na Pacome Ki wala Max.
 
Gamondi, Hersi, piteni na hii:-

Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.

Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.

Hence Chama ni bora kuliko Zengeli
Umetumwa wewe! Siyo bure. Haya mambo ya nani bora, na nani siyo bora; hayapo kwenye timu ya Yanga! Isipokuwa timu yote kwa ujumla ni bora.
 
Gamondi, Hersi, piteni na hii:-

Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.

Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.

Hence Chama ni bora kuliko Zengeli
Unasema?
 
wale wazungu tuliocheza Augsburg fc alihojiwa full back wao akasema Zingel ndio mchezaji hatari pale Yanga. kwanza ni ngumu kum mark sababu anabadili sana position na kila sehemu yupo.
 
Back
Top Bottom