Sonimbusilo
Member
- Aug 12, 2024
- 12
- 47
Kuna PASI chonganishi na Kuna PASI zenye macho yaan VELOCITY NA ACCELERATION FORMULA anazifuata na movement ya mpira inatua mguuni 😂😂Pasi yenye macho ndo ipi?? Kama unayo niuzie
Ndio shida ya mashabiki maandazi wasiojua mpira, Zengeli anafanya kazi nyingi kwa wakati mmoja halafu mnampima Chama dhidi ya timu dhaifu ya Vital 'O'Gamondi, Hersi, piteni na hii:-
Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.
Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.
Hence Chama ni bora kuliko Zengeli
View attachment 3078585
Max inavaliwa usoni? Wewe jamaa ulipona ponaje sakata la vyeti feki?Max-inavaliwa uson kuficha sura
Chama-inatumiwa san na watoto wadogo Kam kiburudixho Cha mdomo
Naona Chama Ameiva sasa, anatafuta ushindi badala ya kutafuta şifa zake binafsi. Ona Karibu kila bao limetokana na akili na uwezo wake. Hapa Yanga wamepataTuseme siku ya Jana ilikuwa nzuri kwake
Umetumwa wewe! Siyo bure. Haya mambo ya nani bora, na nani siyo bora; hayapo kwenye timu ya Yanga! Isipokuwa timu yote kwa ujumla ni bora.Gamondi, Hersi, piteni na hii:-
Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.
Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.
Hence Chama ni bora kuliko Zengeli
Sawa mejoi,Kuna PASI chonganishi na Kuna PASI zenye macho yaan VELOCITY NA ACCELERATION FORMULA anazifuata na movement ya mpira inatua mguuni [emoji23][emoji23]
Unasema?Gamondi, Hersi, piteni na hii:-
Max Mpia Zengeli Ni mchezaji mzuri sana ila ana mapepe, sio mtulivu, ana papara anataka kufunga muda woote kumbe kazi yake ni kutoa pasi zenye macho, unashangaa mechi inaisha Max Mpia Zengeli Hana Assist Hata moja.
Chama triple C Mwamba wa Lusaka Ni mtulivu sana, pasi zake zina macho, Chama ana madhara makubwa uwanjani kuliko Max, Chama atakupa kitu uwanjani, Chama mpira ukiisha lazima utaona Assist, kosa kosa nk.
Hence Chama ni bora kuliko Zengeli