bro be straight are you simba or Yanga ? coz u are confusingmax zingeli ni a big player.
chama ni taka taka 🚮 hata akiondoka leo yanga. we don't need him
Huyo jmaa hat km kutokumpend mtu sio kihvyo.kumuita takataka duh!co powbro be straight are you simba or Yanga ? coz u are confusing
Atakua anazungumzingia pasi ya mkaa labda, muulize kwanza.Pasi yenye macho ndo ipi?? Kama unayo niuzie
Kwani kwenye hiyo hiyo timu dhaifu nzengeli alifanya nini?Ndio shida ya mashabiki maandazi wasiojua mpira, Zengeli anafanya kazi nyingi kwa wakati mmoja halafu mnampima Chama dhidi ya timu dhaifu ya Vital 'O'
Wajaaa mna nn lakinii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe utakuwa unamzungumzia max wa tandahimba. Huyu max ambaye mpaka kutambua anacheza namba ngapi uwanjani ni shidah ndo umuliganishe na chama anaye kaa amesimama ili aletewe mipira