Chama ni mchezaji konokono hana speed kabisa

Chama ni mchezaji konokono hana speed kabisa

Chama Yuko slow,si mkabaji..ndizo sababu Morocco pakamshinda,ligi yetu Ina muda mrefu wa kukaa na mpira,ndomana anaonekana wa maana,ligi substandard
Wakabaji wapo mwananyamala kwa mama zakaria

Wakimbiaji wapo alahly kama kisinda anavyoshine misri kwa ajili ya kukimbia
 
Kisinda alipaweza kwa mbio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkiambiwa nyinyi ni mazezeta mnabisha
Hapa huoni wewe ndiye zezeta!?..mi nimemzungumzia chama na ndiye nada,wewe unamuingiza kisinda!!!...walau kisinda alikua akicheza Hadi kupata medali ya ubingwa shirikisho,chama mambo yalishondikana kabisa
 
Chama ni mchezaji konokono hana speed kabisa. Hawezi mfikia Kisinda au Aziz Ki kwa mbio. Hawezi kabisa.

Mchezaji konokono wa nini sasa? Anatembea tu Uwanjani. TK Master anachomoka kinyama anakimbia kama risasi. Ndo mchezaji bora. Hata Aziz Ki naye ana mbio na nguvu si kama Chama. Konokono na legelege
kwa nini chama alikimbia kule berkane
 
Chama ni mchezaji konokono hana speed kabisa. Hawezi mfikia Kisinda au Aziz Ki kwa mbio. Hawezi kabisa.

Mchezaji konokono wa nini sasa? Anatembea tu Uwanjani. TK Master anachomoka kinyama anakimbia kama risasi. Ndo mchezaji bora. Hata Aziz Ki naye ana mbio na nguvu si kama Chama. Konokono na legelege
Umenikumbusha jamaa alikuwa anaitwa Alhaji Fafiga. Alikuwa na mbio sana timu ya taifa Senegal ila walipoenda kushiriki kombe la dunia 2002 akaiba cheni dukani.
 
Hapa huoni wewe ndiye zezeta!?..mi nimemzungumzia chama na ndiye nada,wewe unamuingiza kisinda!!!...walau kisinda alikua akicheza Hadi kupata medali ya ubingwa shirikisho,chama mambo yalishondikana kabisa
Wewe n zezeta na utopolo wenzio....nani kakwambia sifa ya uchezaji bora ni mbio? Kama uingekuwa mbio ndio sifa ya uchezaji bora basi kisinda na moloco wangekuwa EPL au LALIGA muda huu, na Adama Traore angekuwa ni mchezaji bora duniani .....UTOPOLO HAMNA AKILI
 
Wewe n zezeta na utopolo wenzio....nani kakwambia sifa ya uchezaji bora ni mbio? Kama uingekuwa mbio ndio sifa ya uchezaji bora basi kisinda na moloco wangekuwa EPL au LALIGA muda huu, na Adama Traore angekuwa ni mchezaji bora duniani .....UTOPOLO HAMNA AKILI
Mazezeta siye tunawaphila tu kila siku,kasi sikumaanisha mbio tu ewe kolo usiyejua mpira
 
Back
Top Bottom