Chama ni mchezaji wa game ndogo

Chama ni mchezaji wa game ndogo

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ukibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc🤪
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs To Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli.
Kweli naendelea kuamini kwamba yanga wote hamna Akili isipokuwa kikwete na baba yake manara hii Kwa mujibu wa Manara.
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli.
Utopolo mtupu 😀
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli.
Yanga mna ujinga mwingi sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli.
Chama huyuhuyu alicheza game ya Orlando Pirates? Tena akapoteana kwenye hiyo game? Karia alikuwa sahihi kusema Yanga mna Kinyesi.
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Fact za nini wakati mleta maada sio mzee mnara Wala kikwete?
 
Tuache na chetu kwaiyo tumchukue fei aje acheze simba, Awe Bora asiwe Bora ndani hachezi peke yake ndio maana Kuna substitution ake akizingua benchi litamuhusu .

Harafu mnajisahau game za mwanzo za kucheza na timu za Sudan ambazo hata namungo aliwai jizolea point mshaanza makelele kibao mnafeli Sana asee
 
Kiungo mwenye spidi ya konoko kwenye vi game vya mchongo utafutahi na shoo zake. Njoo kwenye game taff, Hans pope alisema atampiga na gongo na uchezaji wake wa mchongo.
 
Back
Top Bottom