Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama ni kama mwenge tu, unakimbia humu humu nchini tu, hata ukiangaza kamwanga kake kanaishia Malawi
Taarabu taarabu ndio nani?Hv huwa unafatilia soka??au taarabu taarabu ndo mambo yako
Taarabu taarabu ndio nani?Hv huwa unafatilia soka??au taarabu taarabu ndo mambo yako
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia
Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.
Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .
Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.
Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.
Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc[emoji2957]
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa
2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa
3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa
4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa
5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza