Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Haya,Sasa muwaambie wanaofanya hizo propaganda waache kuwafanya mazuzu.Ni kweli,ninyi ni mazuzu ila wasiwazidishie uzuzu.πππππSio kweli kaka izo ni propaganda tu kama zile za yule jamaa mlie sema eti mmetupokonya airport
Chama ni mchezaji mzuri kwa Simba, ila kwenye Soka la kisasa hapati nafasi kwakua linahitaji kasi na nguvu hasa eneo la ushambuliaji.
Ndio maana kule kwa waarabu alishindwa au kwenye timu ya Taifa uwa ana anzia bench.
Ata kocha wa Simba anampa nafasi kwasababu hana jinsi.
Hakuna kocha wa kisasa akampenda mchezaji mwenye spidi ya konokono.
Simba ndio mazuzu kaka wanaongoza kwa kufanya ulozi mixer kuishia robo mwenzenu kapasua hadi fainalHaya,Sasa muwaambie wanaofanya hizo propaganda waache kuwafanya mazuzu.Ni kweli,ninyi ni mazuzu ila wasiwazidishie uzuzu.πππππ
Ulozi ni mila.Acha uzuzu wewe uto!ππππKati yetu
Simba ndio mazuzu kaka wanaongoza kwa kufanya ulozi mixer kuishia robo mwenzenu kapasua hadi fainal
Tena propaganda anazianzisha mwenyewe Chama ili apate kumtingisha muhindi amuongezee mshahara, mwaka huu wametingisha wee muhindi kagoma wakaanza kumtolea povu wakisaidiana na dada CEOSio kweli kaka izo ni propaganda tu kama zile za yule jamaa mlie sema eti mmetupokonya airport
Ulivyoandika utadhani ulikuwa unakunywa nao madafu kijiweni.Uto vituko sana.πππTena propaganda anazianzisha mwenyewe Chama ili apate kumtingisha muhindi amuongezee mshahara, mwaka huu wametingisha wee muhindi kagoma wakaanza kumtolea povu wakisaidiana na dada CEO
Hadi ngushiLakini hana medali hata ya caf kazidiwa hadi na kibwana shomari
Mngeeleza kuwa wanamzidi Chama hadi mahela.Nini medali?Hata watoto wanaopata komunio ya kwanza makanisani huvalishwa medali!Hadi ngushi
KabisaHadi ngushi
Aziz k anatumia nguvu nyingi ila chama akili nyingiHivi vitu hata aziz k anavifanya
Usimfananishe Aziz na vitu vya kipuuzi, Chama ana kimbia utafikiri ana kanyaga moto wakati Aziz amehama kwenye kucheza mpira ila anauchezea mpira anafanya sanaa (Art).Aziz k anatumia nguvu nyingi ila chama akili nyingi
Aziz k huyuhuyu aliyekuwa anawekwa benchi na feitoto,acha masihara,zaidi ya mdomo hakuna alichomzidi chamaUsimfananishe Aziz na vitu vya kipuuzi, Chama ana kimbia utafikiri ana kanyaga moto wakati Aziz amehama kwenye kucheza mpira ila anauchezea mpira anafanya sanaa (Art).
Ilibidi watu wasubiri mpaka saa 9 usiku kumshuhudia kiumbe akitambulishwa.
Aziz kwa umri na uwezo alionao kucheza Tanzania ni bahati kwa yanga ila nibahati mbaya kwa mchezaji.
Aziz bado hajaonyesha uwezo wake ila ni swala la muda tu, kunasiku watu wata vamia uwanja kwenda ku mbeba juu juu na kushangilia pamoja nae.
Wachezaji wote wa Simba waliocheza dhidi ya Aziz wanafahamu namna jamaa alivyo wadhalilisha mechi ya Nyumbani na kule ugenini dhidi ya Asec.Aziz k huyuhuyu aliyekuwa anawekwa benchi na feitoto,acha masihara,zaidi ya mdomo hakuna alichomzidi chama
Mpira sio blah blah, mpira ni namba, ni mchezaji gani mwenye hiyo kasi aliyemzid takwimu zozote Chama? Anavyoongoza assists kila msimu hao weny kasi wanakuwa wapi? Amekuw MVP wenye kasi walikuwa wapi? Hivi huwa mnashabikia mpira wa wapi?na mnachambua mpira kivipi?Chama ni mchezaji mzuri kwa Simba, ila kwenye Soka la kisasa hapati nafasi kwakua linahitaji kasi na nguvu hasa eneo la ushambuliaji.
Ndio maana kule kwa waarabu alishindwa au kwenye timu ya Taifa uwa ana anzia bench.
Ata kocha wa Simba anampa nafasi kwasababu hana jinsi.
Hakuna kocha wa kisasa akampenda mchezaji mwenye spidi ya konokono.
Izo asst zimeisaidia nini iyo timu, si kwenye ligi ya mabingwa wala ligi ya nyumbani.Mpira sio blah blah, mpira ni namba, ni mchezaji gani mwenye hiyo kasi aliyemzid takwimu zozote Chama? Anavyoongoza assists kila msimu hao weny kasi wanakuwa wapi? Amekuw MVP wenye kasi walikuwa wapi? Hivi huwa mnashabikia mpira wa wapi?na mnachambua mpira kivipi?
Wenye kasi si akina Kibu d, Kisinda, Nkane n.k haya hao wamefanya nin cha maana na kasi yao?
Mkuu samahan nikuulize, wew ni mshabiki wa mpira au Yanga? Nisije nikapoteza energy bure.Izo asst zimeisaidia nini iyo timu, si kwenye ligi ya mabingwa wala ligi ya nyumbani.
Apa Nyumbani Simba walikua wanashika nafasi ya pili na vikombe vyote wamenyang'anywa.
Uko champion league inaishia robo.
Wakati Yanga inatembeza Bakuli ndio muda pekee Chama magoli na assist zake zilikua na maana ila Yanga walipo Adjust timu yao ikawa ya Ushindani timu yake inaburuzwa tu na Assist zake zinakosa maana.
Kwa sasa ndio asahau kabisa, assist zake zitaisaidia simba kushika nafasi ya pili.
Ameishachuja hakuna kitu hapo ni garasa hilo kwa sasaWachezaji wote wa Simba waliocheza dhidi ya Aziz wanafahamu namna jamaa alivyo wadhalilisha mechi ya Nyumbani na kule ugenini dhidi ya Asec.
Aishi manula hatakia ata kumuona akicheza dhidi yake.
Yupo tayari aji vunje lakini si kucheza dhidi ya Aziz.
Uyu Aziz akiweza kufikia kile kiwango chake alichokua nacho Asec akiwa apa Yanga, watu wote wataimba mapambio.