Chama ni mchezaji wa kuigwa mpaka na wachezaji wenzake

Unamzungumzia Aziz K huyu anaetamani kucheza uchi uwanjani anaona zile nguo mzigo unampunguzia nguvu uwanjani, mule akili ndogo nyingi miguvu tu

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
We jamaa sio mzima kbs au huwa unaangalia mpira kwa kutumia makalio nn??
 
Maisha magumu ndio yamekufikisha huku unatukana watu at least upate relief
Aliyeanza kutukana ni mimi au wewe? Uliona ni sawa kuniaddress vile kule juu? Mjadala ulikuwa wa Kawaida kabisa, ghafla unaanza kumu-address mtu vinginevyo? Kufikia hapo ni nani ana stress za maisha magumu:mimi au wewe?
 
Aliyeanza kutukana ni mimi au wewe? Uliona ni sawa kuniaddress vile kule juu? Mjadala ulikuwa wa Kawaida kabisa, ghafla unaanza kumu-address mtu vinginevyo? Kufikia hapo ni nani ana stress za maisha magumu:mimi au wewe?
Naona akili zimerudi, niletee tusi nlililo kutukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…