OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwenye FIFA Transfer Market mkataba wake umeonyesha unaisha tarehe 21.06.2020Hapo kasema mkataba wake ukiisha na Simba ila hajasema mkataba wake na Simba unaisha lini? Hapa ndo shida ilipo naona still ajafunga mjadala Bali atazidi kuchochea tetesi zake za usajili na Yanga.
Sijapingana na wewe ila nimemjibu mtoa mada kutoka na hiyo video fupi aliyopost.Kwenye FIFA Transfer Market mkataba wake umeonyesha unaisha tarehe 21.06.2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii taarifa sio sahihi, mwezi wa nane mwaka jana aliongeza miaka miwili, hata kuitumia bado hajaanza.Mwenyewe anasema mpaka mkataba wake na Simba ukiisha ndio ataongelea hayo mambo.
Mkataba wake na Simba utaisha tarehe 21.06.2020!View attachment 1418317
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao sio FIFA transfer market wala huo mtandao wa hivyo haupo, hao ni Transfer market.Kwenye FIFA Transfer Market mkataba wake umeonyesha unaisha tarehe 21.06.2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana miaka miwili mbele.Hapo kasema mkataba wake ukiisha na Simba ila hajasema mkataba wake na Simba unaisha lini? Hapa ndo shida ilipo naona still ajafunga mjadala Bali atazidi kuchochea tetesi zake za usajili na Yanga.
Hao Yanga wanajifariji tuuu mnaowajibu ndio mnawapa kichwa wapotezeeeni mazima. Istoshe kwa Viungo waliopo Simba hata akiondoka Chama siioni shida. Simba nguvu Moja Daima.hii taarifa sio sahihi , mwezi wa nane mwaka jana aliongeza miaka miwili , hata kuitumia bado hajaanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka wana GSM msiwazarau na wamerudi kwa kishindo Yanga.Hao Yanga wanajifariji tuuu mnaowajibu ndio mnawapa kichwa wapotezeeeni mazima. Istoshe kwa Viungo waliopo Simba hata akiondoka Chama siioni shida. Simba nguvu Moja Daima
Sawa pesa za zilizovunwa kifisadi kipindi cha awamu ya nne zinaenda kuvuruga mpira wa Tanzania.Kumbuka wana GSM msiwazarau na wamerudi kwa kishindo Yanga.
Labda FIFA ya Buza kwa mama kibonge, huo mtandao ni afadhali hata ya Michuzi Blog. Taarifa nyingi ni maoni ya anayeumiliki na nyingi ni za muda mrefu.Kwenye FIFA Transfer Market mkataba wake umeonyesha unaisha tarehe 21.06.2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Dilunga Yanga hapati namba atacheza wapi.Yanga hawajijui Dilunga kawaambia heri arudi mtibwa kuliko yanga wachezaji hawajalipwa mishahara wa Machi viongozi wanasingizia wanasubiri ripoti ya kocha vitu ambavyo havihusiani
Ajibu alikuwa nyota yanga kaja Simba benchi, nyonzima tulimwacha Sasa hivi ndiyo nyota kwenu kama Dilunga anamweka Ajibu benchi ndiyo akose namba Yanga.Dilunga Yanga hapati namba atacheza wapi
Chama hana miaka miwili,labda mikia mfoji mkataba wake.
8_3_2020Hao Yanga wanajifariji tuuu mnaowajibu ndio mnawapa kichwa wapotezeeeni mazima. Istoshe kwa Viungo waliopo Simba hata akiondoka Chama siioni shida. Simba nguvu Moja Daima
Sasa Dilunga nae mtu? Yule hata Yanga ya sasa hapati namba! Anatafuta kiki mumpe mkataba mpya!Yanga hawajijui Dilunga kawaambia heri arudi mtibwa kuliko yanga wachezaji hawajalipwa mishahara wa Machi viongozi wanasingizia wanasubiri ripoti ya kocha vitu ambavyo havihusiani
Niyonzima zengwe kwanza anawadai mpaka leo..taja Dilunga atamuweka nani benchi. Mchezaji wa mechi ndogo.Ajibu alikuwa nyota yanga kaja Simba benchi, nyonzima tulimwacha Sasa hivi ndiyo nyota kwenu Kama Dilunga anamweka Ajibu benchi ndiyo akose namba yanga