Chama Triple C awataka Yanga kuacha uzushi

Chama Triple C awataka Yanga kuacha uzushi

Mo msimu ujao atoi pesa nyingi ya usajili,na viongozi wa mikia iko kitu wanakijua,wanachofanya mikia wanatest kwa akili yao Yanga ifungiwe kusajili na fifa sbb ya kauli ya mwakalebela,hii yote wanajua kiasi cha bln 1.5 alichoweka GSM kwenye usajili basi msimu ujao Yanga itakua na timu ya maana!
 
Hakuna kitu kama hicho komaeni mshinde kweli kama ninyi siyo mbumbumbu!
We bwege unahisi kila mtu asipokuwa yanga basi ni simba? Sina timu tz mimi, siwezi shangilia timu zisizoeleweka mimi
 
We bwege unahisi kila mtu asipokuwa yanga basi ni simba? Sina timu tz mimi, siwezi shangilia timu zisizoeleweka mimi
Unafanyaje hapa kwenye mazungumzo yanayohusu timu zisizoeleka? Wewe unaeleweka kwanza?
 
Sijaongelea chama mkataba wake unathamani gani nnacho sema Msemaji wa yanga kaweka wazi GSM watatoa dollar laki moja kwa miezi sita wakiwa kwenye transition mchakato .
hehe, bonus ya kumfunga Simba tu ilikuwa dola laki moja (almost)
Point is, Simba mnadanganywa sana. Kuna propaganda machine kubwa ili muamini ukubwa wa Simba ni level za Mazembe.
Mmeshaamini uwongo mpaka mnaanza kusahau kuwa kazi bado sana. Huyo Senzo ni CEO wa Simba Sports Club au Simba SC Compay ltd?
Jibu hilo kwanza.
 
Yanga siku zote wanataka kutembea juu ya nyota ya simba ndio maana waliwaalika as vita wakawatolea nje wamemsifia morison wakijua wazi simba kuna mafundi wengi wa kuchezea mpira watabaki kula kwa macho ila si chama wala deo kanda atakayeenda timu ambayo kwenye ranking za caf haipo hata 20 bora
 
Yanga siku zote wanataka kutembea juu ya nyota ya simba ndio maana waliwaalika as vita wakawatolea nje wamemsifia morison wakijua wazi simba kuna mafundi wengi wa kuchezea mpira watabaki kula kwa macho ila si chama wala deo kanda atakayeenda timu ambayo kwenye ranking za caf haipo hata 20 bora
Ha ha ha ha ha kwenye ranking za CAF mpo hata kwenye 200 bora!?[emoji23] [emoji23]
 
Yanga siku zote wanataka kutembea juu ya nyota ya simba ndio maana waliwaalika as vita wakawatolea nje wamemsifia morison wakijua wazi simba kuna mafundi wengi wa kuchezea mpira watabaki kula kwa macho ila si chama wala deo kanda atakayeenda timu ambayo kwenye ranking za caf haipo hata 20 bora
Morrison mtamuota hadi lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hehe, bonus ya kumfunga Simba tu ilikuwa dola laki moja (almost)
Point is, Simba mnadanganywa sana. Kuna propaganda machine kubwa ili muamini ukubwa wa Simba ni level za Mazembe.
Mmeshaamini uwongo mpaka mnaanza kusahau kuwa kazi bado sana. Huyo Senzo ni CEO wa Simba Sports Club au Simba SC Compay ltd?
Jibu hilo kwanza.
Nikuondowe wasiwasi baada ya simba kufungwa na yanga wachezaji wamepewa laki mbili na uthibitisho wametoa kina makame na wengine walionyimwa mgao ,usiongee bonasi wakati hailipwi fuatilia team yako mwezi wa ngapi mishahara hawajalipwa urudi tena
 
Nikuondowe wasiwasi baada ya simba kufungwa na yanga wachezaji wamepewa laki mbili na uthibitisho wametoa kina makame na wengine walionyimwa mgao ,usiongee bonasi wakati hailipwi fuatilia team yako mwezi wa ngapi mishahara hawajalipwa urudi tena
Milioni mia mbili zilitolewa na mishahara inalipwa. Umeamua tu kujidanganya.
 
Milioni mia mbili zilitolewa na mishahara inalipwa. Umeamua tu kujidanganya.
Mbona unajificha kwenye mchicha unadhani hautoonekana? Hakuna kiongozi wa yanga anajibu swali la m 200 wote wanakimbia ,mishahara team haiwezi kulipa ikatoe m200 ?,ulimwengu wa sasa hakuna la kuficha tunaishi na wachezaji wa yanga wengine kutulipa kodi tu mtihani ,fanyeni mpango kuendelea kuichangia team,ukiondoa wachezaji wachache wanaolipwa na watu binafsi wachezaji wengi hali zao ni ngumu wanalalamika kwenye magroup ya whatapp kila kukicha ?
 
Mbona unajificha kwenye mchicha unadhani hautoonekana? Hakuna kiongozi wa yanga anajibu swali la m 200 wote wanakimbia ,mishahara team haiwezi kulipa ikatoe m200 ?,ulimwengu wa sasa hakuna la kuficha tunaishi na wachezaji wa yanga wengine kutulipa kodi tu mtihani ,fanyeni mpango kuendelea kuichangia team,ukiondoa wachezaji wachache wanaolipwa na watu binafsi wachezaji wengi hali zao ni ngumu wanalalamika kwenye magroup ya whatapp kila kukicha ?
Ndio maana nikakwambia, umeamua kujidanganya.
 
Ndio maana nikakwambia, umeamua kujidanganya.
Nenda sheria ,kisha bunju complex angalia utofauti wa wachezaji wanavyoingia kufanya mazoezi utagundua utopoloni kuna wengine wanaingia wamebeba viatu mkononi,wengine bodaboda wachache wamebebana kwenye gari wanne,kisha upande wa pili utaona wanaingia na ndinga zao hakuna kubebana tofauti inaanzia hapa,hata afya zao na nyuso zao zinatofautiana ,maisha lazima yawe tofauti,jiulize vijana hawana namba benchi tu wanang'ang'ania unyamani ,utajua tu kutofautisha kati ya X na kuzidisha
 
Nenda sheria ,kisha bunju complex angalia utofauti wa wachezaji wanavyoingia kufanya mazoezi utagundua utopoloni kuna wengine wanaingia wamebeba viatu mkononi,wengine bodaboda wachache wamebebana kwenye gari wanne,kisha upande wa pili utaona wanaingia na ndinga zao hakuna kubebana tofauti inaanzia hapa,hata afya zao na nyuso zao zinatofautiana ,maisha lazima yawe tofauti,jiulize vijana hawana namba benchi tu wanang'ang'ania unyamani ,utajua tu kutofautisha kati ya X na kuzidisha
Akina nani walio benchi na wanang'ang'ania huko!?
 
Nenda sheria ,kisha bunju complex angalia utofauti wa wachezaji wanavyoingia kufanya mazoezi utagundua utopoloni kuna wengine wanaingia wamebeba viatu mkononi,wengine bodaboda wachache wamebebana kwenye gari wanne,kisha upande wa pili utaona wanaingia na ndinga zao hakuna kubebana tofauti inaanzia hapa,hata afya zao na nyuso zao zinatofautiana ,maisha lazima yawe tofauti,jiulize vijana hawana namba benchi tu wanang'ang'ania unyamani ,utajua tu kutofautisha kati ya X na kuzidisha
Wewe kweli unachekesha. Mchezaji gani Bunju ana gari la maana? Halafu, kuzungumzia maisha ya watu naona kama mambo fulani ya kupoteza muda.
 
Wewe kweli unachekesha. Mchezaji gani Bunju ana gari la maana? Halafu, kuzungumzia maisha ya watu naona kama mambo fulani ya kupoteza muda.
Ntakupa somo utaelewa nenda bunju complx kajionee kwa nini usimuliwe alafu jifunze hili litakusaidia"unachokula ndio kina amua afya yako itakavyokuwa " hao wachezaji ndio wanaonyesha hali halisi ya club kwa sasa haiwezi linganisha azam/simba na yanga ,yanga wakianza kufanya vitu vya kueleweka wachezaji njaa na malalamiko yatakwisha vitabaki vitu vya kawaida
 
Back
Top Bottom