Chama undisputed

Chama undisputed

Rocco sifredi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
100
Reaction score
197
Mpira siku zote ni mchezo wa wazi tulishasema toka siku nyingi kipindi simba iko kwenye peak ilijengwa kumzunguka chama chama ndo alikua anaamua Simba icheze vipi alipoondoka ndo anguko la simba lilianzia pale

Chama ni mmoja kati ya wachezaji ambao wanafanya kwa usahihi na ufasaha majukumu yao asilimia 85 ya ushindi wa simba Leo umechorwa na chama halafu kuna mtu yuko busy anaona saidoo ni bora kuliko mwamba wa Lusaka

All in all timu imejitahidi japo kuna namna bado hatuchezi kitimu ni wakati muafaka sasa Luis na chasambi wawe wanaanza saidoo piga benchi playmaker CCC

NB:AISEE CHAMA NI MCHEZAJI WA DARAJA LA JUU SANA CHAMA NI GENIOUS WA MPIRA KUWAHI KUTOKEA MSIMBAZI PALE
 
Mkikutana na timu yenye ubora akashindwa ku-perform mnaanza kumponda na kumuita mzee!!
 
Mpira siku zote ni mchezo wa wazi tulishasema toka siku nyingi kipindi simba iko kwenye peak ilijengwa kumzunguka chama chama ndo alikua anaamua Simba icheze vipi alipoondoka ndo anguko la simba lilianzia pale

Chama ni mmoja kati ya wachezaji ambao wanafanya kwa usahihi na ufasaha majukumu yao asilimia 85 ya ushindi wa simba Leo umechorwa na chama halafu kuna mtu yuko busy anaona saidoo ni bora kuliko mwamba wa Lusaka

All in all timu imejitahidi japo kuna namna bado hatuchezi kitimu ni wakati muafaka sasa Luis na chasambi wawe wanaanza saidoo piga benchi playmaker CCC

NB:AISEE CHAMA NI MCHEZAJI WA DARAJA LA JUU SANA CHAMA NI GENIOUS WA MPIRA KUWAHI KUTOKEA MSIMBAZI PALE
Jina la ID yako daah au basi
 
Mpira siku zote ni mchezo wa wazi tulishasema toka siku nyingi kipindi simba iko kwenye peak ilijengwa kumzunguka chama chama ndo alikua anaamua Simba icheze vipi alipoondoka ndo anguko la simba lilianzia pale

Chama ni mmoja kati ya wachezaji ambao wanafanya kwa usahihi na ufasaha majukumu yao asilimia 85 ya ushindi wa simba Leo umechorwa na chama halafu kuna mtu yuko busy anaona saidoo ni bora kuliko mwamba wa Lusaka

All in all timu imejitahidi japo kuna namna bado hatuchezi kitimu ni wakati muafaka sasa Luis na chasambi wawe wanaanza saidoo piga benchi playmaker CCC

NB:AISEE CHAMA NI MCHEZAJI WA DARAJA LA JUU SANA CHAMA NI GENIOUS WA MPIRA KUWAHI KUTOKEA MSIMBAZI PALE
Ongeza sauti Mkuu.hatusikii huku
 
Unakariri mechi moja? Kwani timu kufungwa goli 5 ni story? Ni kwa vile utopolo united ni wandogo kwa Simba mnaona mlibahatisha. Usiwe na akili mgando
Akicheza na timu za maana anapotea na kutolewa
 
Mpira siku zote ni mchezo wa wazi tulishasema toka siku nyingi kipindi simba iko kwenye peak ilijengwa kumzunguka chama chama ndo alikua anaamua Simba icheze vipi alipoondoka ndo anguko la simba lilianzia pale

Chama ni mmoja kati ya wachezaji ambao wanafanya kwa usahihi na ufasaha majukumu yao asilimia 85 ya ushindi wa simba Leo umechorwa na chama halafu kuna mtu yuko busy anaona saidoo ni bora kuliko mwamba wa Lusaka

All in all timu imejitahidi japo kuna namna bado hatuchezi kitimu ni wakati muafaka sasa Luis na chasambi wawe wanaanza saidoo piga benchi playmaker CCC

NB:AISEE CHAMA NI MCHEZAJI WA DARAJA LA JUU SANA CHAMA NI GENIOUS WA MPIRA KUWAHI KUTOKEA MSIMBAZI PALE
undisputed? how?
 
Back
Top Bottom