Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Huyu dogo alidhani huku Yanga sisi tutampet pet. Ameona hana attention na Simba hawana issue naye sasa anaanza kutafuta sababu za kurudi Simba. Namwona jinsi ambavyo sasa anajitenga na wenzie. Na ame delete picha nyingi instagram akiwa na Yanga.
Huyu nadhani kinamuanza. Kama hajui ndo atajua kuwa hajui.....oooooh hoooooh.... Hatufagilii mtu sisi haina chanapa hii. Utakuwa ndo mwisho yeye kuwakilisha. Nina wasiwahi huyu alitumwa jambo flani Yanga.
Huyu nadhani kinamuanza. Kama hajui ndo atajua kuwa hajui.....oooooh hoooooh.... Hatufagilii mtu sisi haina chanapa hii. Utakuwa ndo mwisho yeye kuwakilisha. Nina wasiwahi huyu alitumwa jambo flani Yanga.