hivi shigongo ni mlokole au ni kada tu wa ccm?
hayo maji ameyavulia nguo sharti ayaoge. waganda ni matapeli kweli na shule wameenda na sheria wanaijua. unadhani hata akirudisha passport ndio yameisha . hayo bado . ni bora shigongo akubali hasara ya hiyo dola 3500. na akatae kama hana hiyo passport. coz KAMA SHIGONGO AKIRUDISHA HIYO PASSPORT ATAKUWA AMEUINGIA MKENGE MWINGINE COZ HAIRUHUSIWI KUZUIA PASSPORT YA MTU NA HATA KWENYE PASSPORT IMEANDIKWA. SO ATAKUWA NA KESI YA KUJIBU. THEN JAMAA BADO ATADAI FIDIA KWA HASARA ALIYOIPATA KWA KUZUILIWA PASSPORT YAKE. MEANS ATASEMA ALISHINDWA KUFANYA SHUGHULI ZAKE ZA KIBIASHARA (SHOW NJE YA UGANDA) KWA SABABU YA SHIGONGO NA HIYO HELA ATAKAYOITAJA YA FIDIA MBONA DAR LIVE ITAUZWA ILI AFIDIWE
Tundu lisu wapi jamani amsaidie huyu jamaa
ni mlokole kama mama wa Mikocheni B A....na ni kada wa CCM.
Umemuelewa Chameleon lakini??Hivi watu wakisema Watanzania tuna matatizo tutalalamika kweli? - mtu wa kawaida anawezaje kumyanganya raia wa kigeni passport YAKE!!!
Kama Dr. Jose Chameleone ameshirikiana na conman ku-swinddle SHIGONGO, basi kuna njia nyingi za kumshinikiza muhusika arudishe PESA za Shigongo na actually at the end of the DAY Chameleone ndie atahaibika. Majibu jibu na malalamiko ya Chameleone yanaonyesha hayuko innocent katika sakata hilo alijua fika kilicho kuwa kinaendelea kati ya conman huyo na Shigongo lakini alikaa kimya bila ya kumpa tahadhali SHIGONGO!
Inashangaza sana hivi SHIGONGO hajuhi kwamba passport ya Chameleone ni mali ya SERIKALI ya Uganda?????
hayo maji ameyavulia nguo sharti ayaoge. waganda ni matapeli kweli na shule wameenda na sheria wanaijua. unadhani hata akirudisha passport ndio yameisha . hayo bado . ni bora shigongo akubali hasara ya hiyo dola 3500. na akatae kama hana hiyo passport. coz KAMA SHIGONGO AKIRUDISHA HIYO PASSPORT ATAKUWA AMEUINGIA MKENGE MWINGINE COZ HAIRUHUSIWI KUZUIA PASSPORT YA MTU NA HATA KWENYE PASSPORT IMEANDIKWA. SO ATAKUWA NA KESI YA KUJIBU. THEN JAMAA BADO ATADAI FIDIA KWA HASARA ALIYOIPATA KWA KUZUILIWA PASSPORT YAKE. MEANS ATASEMA ALISHINDWA KUFANYA SHUGHULI ZAKE ZA KIBIASHARA (SHOW NJE YA UGANDA) KWA SABABU YA SHIGONGO NA HIYO HELA ATAKAYOITAJA YA FIDIA MBONA DAR LIVE ITAUZWA ILI AFIDIWE
anaedai passport ni Chameleon au, kwanini asishitaki police
Sikua nimefatilia sana hilo sakata la Jose Chameleone wa Uganda na Eric Shigongo, leo baada ya kusikia kwenye habari kwamba hata DJ JD (wengi tunamfahamu) alikua dj maarufu sana hapa mjini na kwa kiasi kikubwa mtu mwenye heshima sana akilalamika kwamba alidhulumiwa na chameleone USD 3,000 miaka saba iliyopita nikaamua kufwatilia hili suala, na haya ndio niliyokutana nayo
- Kutoka facebook page ya chameleone utakutana lugha mbaya sana zikielekezwa kwa shigongo lakini sio tu kwa shingongo ila kwa watanzania wote, kila mganda anayeingia pale anatutukana, iliyoniuma zaidi ni post moja iliyosema watanzania ni wajinga na maskini, na hata wafanyaje hawawezi kufikia level ya waganda, imenikera, sipendi dharau.
- chameleone ameenda ku-protest ubalozi wa Tanzania UG, na haraka eric akaitwa na passport imeishatumwa UG baada ya wanadiplomasia kuingilia kati, lakini wakati eric kapata tabu ya kudhulumiwa, alienda ubalozi wa UG hapa, hakusikilizwa, ndio kwanza ubalozi wa UG hapa ukampa papers za kusafiria hivyo kumuwezesha kukwepa kulipa pesa anazodaiwa.
- Baada ya kupata passport yake jose kaendelea kujisifia kwenye mitandao kwamba yeye hawezekani, na amewaonyesha watanzania kwamba yeye ni nani (haelekezi hizo dhararu kwa eric, no anazielekeza kwa watanzania). . . Waganda, pamoja na kuwatandika 1978 lakini wanatudharau sana
Ni Kama nchi yetu ipo kwenye auto pilot hatuna serikali, na serikali tuliyonayo ni sawa na Alshabaab. Sijui ni elimu duni, ubabe au ughaidi. Kwa nini Eric shigongo amnyang'anye mtu passpoti wakati vyombo vya sheria vipo? Kikwete ondoka marakani. Ingekuwa walimu wanadai haki zao, serikali yako ingemplekea mtu mabwepande.
Serikali ya Lowassa au slaa huu upumbavu hautakuwepo. Kila mtu ni kiongozi, anafanya kile anachokipenda na hakuna wa kumuuliza
- Kwa nini mt mmoja anayeendesha shirika la udaku aliingize taifa kwenye mgogoro wa kidiplomasia
- Mnasahau passport siyo mali ya mtu bali mali ya nchi? Kikwete serikali yako ni ya aibu
This morning star singer Jose Chameleone drove his Range Rover Sport and parked it right at the Tanzania High Commission with his mattress, guitar with placards demanding one Shigongo Eric to return his passport. Shigongo is the promoter who contracted him to perform in Tanzania which he did but Chameleone's manager and another conman only identified as George, Shigongo lost USD3,500.
The star who had just performed in Rwanda - Amahoro Stadium simply dashed to the Tanzanian Embassy for a peaceful demonstration to compel them to help in retrieving his passport. A team of police officers in a police pick-up UP-2627 came to the scene and pleaded with him to stop the demonstration. The star later had a meeting with the Inspector General of Police who promised to work hand in hand
with their counter parts in Tanzania to have the matter resolved.
Related: Chameleone's Passport Confiscated
Ivi chanzo cha hli bfu ni nin ebu tujuze kaka mtoa mada 2jue il csirukie tren kwa mbele, mim mwenyewe naskia skia ebu funguka
kwa kifupi
- shigogo kafunga contract na chameleone kwamba aje kuimba, wakakubaliana amlipe USD 5000 na maeongezi yote yamefanyika kupitia official agent wa chameleone, sources mbalimbali nilizofatilia zinaonesha huyo bwana kweli ni agent wa chameleone
- zikiwa zimebaki siku chache, chameleone akagoma kuja akidai hajapata pesa, shigongo akalazimika kumlipa, this time chameleone akataka dola 8,000 ambazo alilipwa zote.
- chameleone akaahidi kufatilia zile pesa zilizolipwa mwanzo, na kwa bahati alilala kwenye hoteli ya shigongo, kwa hiyo alivoanza kuzingua kulipa, ikawa rahisi kwa shigongo kushikilia passport yake.
- shigongo akaenda ubalozi wa UG tanzania kupata msaada, wakamtosa.
- chameleone akaenda ubalozi wa UG tz wakampa papers za muda ili asafiri
- alivofika uganda, chamelone akakusanya fans zake, wakaenda kufanya protest kwenye ubalozi wetu
- akaitwa eric na watu wa serikali yetu wakamwambia arudishe passport
- chameleone alivopata hiyo passport akaanza kujisifu kwenye mtandao jinsi alivoitetemesha tanzania
- DJ JD aelezea mwanzo mwisho alivyotapeliwa dola 3,000 na huyo huyo chameleone kwa style kama hiyo hiyo, sema tu kwa John, chameleone alikiri kupata pesa na akasema atalipa ila hadi sasa bado hajalipa