Champion Investment matapeli Mwanza

Champion Investment matapeli Mwanza

Craig

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
1,512
Reaction score
2,712
Habari za kazi wanajamvi.

Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.

Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.

Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.

Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

IMG-20200116-WA0038.jpg
IMG-20200116-WA0037.jpg
IMG-20200116-WA0036.jpg
IMG-20200112-WA0080.jpg
IMG-20200112-WA0081.jpg
 
Craig ingekuwa pesa inapatikana kirahisi hivyo watu wasingefanya kazi...
Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

Jr[emoji769]
 
Kuna mtu amewahi kulalamika humu kutapeliwa na kampuni hiyohiyo ile yeye alikuwa dodoma...

Ila in short ni kwamba hauna akili mkuu..
Mbona umedanganywa kitoto sana.????

Kwahuyo ungetoa milioni 10 baada ya siku3 una milion 30.????


Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
Anzia pale Mwanza Jiji watakusaidia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe waliniadd kwenye hilo group ila nimekuwa kama observer tu maana nilishajua ni matapeli sikuwa interested nalo.Cha kwanza kwa kuangalia tu haraka hizo nyaraka na picha zimefanyiwa photoshop (Kwa anayejua fonts ataelewa vizuri).Pili kiutaratibu ni vigumu kwa mtu kutoa pesa pasipo na maandishi au makubaliano au ushahidi wa namna yoyote.Kwa hilo naomba nikulaumu mkuu.Siku zote unapofanya muamala wa pesa hakikisha mnapeana kwa makubaliano ndani ya nyaraka sahihi.Nimeona wameamua kubadilisha wanaopost kwenye group kwa kuweka only admin can post maana nahisi wameshauona uzi huu kwa hiyo wameogopa watu waliouona wasiende kuwashtua wengine ambao hawajauona [emoji28][emoji28][emoji28] anyway pole mkuu!
Screenshot_20200118-090445_WhatsApp.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
Mimi nililiwa japo pesa kidogo ila kama mpango ungeenda kama tulivyo aminishwa Leo Pengine tungekua na pakuanzia mpango wenyewe Ulikua uanzishaji wa Bank ya wanamwanza Kifupi MCB kiongozi wa mpango huu yupo wakuitwa Joseph Kahungwa mpaka Leo ndugu kimyaa mwaka wa 7 unakatika kama sio utapeli ni nini?
 
Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
Mkuu hawa ni matapeli ,hizo leseni zimeandikwa mwanza ANGALIA MUHURI ULIOPIGWA na SAHIHI NI KINONDONI . LESENI JINA WAME EDIT

ANGALIA TIN WAME EDIT STATIONERY JINA .

HAKUNA BIASHARA YA SIKU TATU UPATE HEKA HIO ,

WALINISHAWISH NIKAWAULIZA OFISI NIENDE WAKASHINDWA ELEZA ,HAWANA OFISI .

GTOUP LAO WHATSAPP WAMEBLOCK USICOMMMENT KITU


Doc zao feki ,na kila kitu fake ..

Kama wamesajiliwa ,ungewaomba ungeenda ofisini kusign mkataba , waligoma.

####leseni original waliocopy hio chini
 

Attachments

  • images (35).jpeg
    images (35).jpeg
    45.4 KB · Views: 121
Kuna mtu amewahi kulalamika humu kutapeliwa na kampuni hiyohiyo ile yeye alikuwa dodoma...

Ila in short ni kwamba hauna akili mkuu..
Mbona umedanganywa kitoto sana.????

Kwahuyo ungetoa milioni 10 baada ya siku3 una milion 30.????


Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
na alisema hapa kuwa ukiwambia upo dar wao watasema wapo dodoma, ukiwambia upo dodoma wao watasema wapo mwanza nia ni kwamba wewe usiende kwenye ofisi hewa wanazosema wanamiliki.
 
Back
Top Bottom