Champion Investment matapeli Mwanza

Champion Investment matapeli Mwanza

Wewe jinga kweli.

Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
 
Ningekuomba hiyo laki Wala usingenipatia Ila Kwa Matapeli ukawa na za kuwapatia. Pambana na Hali yako.
Hapewi pole mwenye kiranga
 
Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
Wafuate ofisini kwao, au hizo documents zote umeziona kwenye what's up?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za kazi Wana jamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENTipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia Mia moja. Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na Leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435. Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
Wewe Ni ZUZUMAGIC PROFESSIONAL
 
Kwanza hiyo leseni ni ya biashara ya urembo wa ndani [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu hawa ni matapeli ,hizo leseni zimeandikwa mwanza ANGALIA MUHURI ULIOPIGWA na SAHIHI NI KINONDONI . LESENI JINA WAME EDIT

ANGALIA TIN WAME EDIT STATIONERY JINA .

HAKUNA BIASHARA YA SIKU TATU UPATE HEKA HIO ,

WALINISHAWISH NIKAWAULIZA OFISI NIENDE WAKASHINDWA ELEZA ,HAWANA OFISI .

GTOUP LAO WHATSAPP WAMEBLOCK USICOMMMENT KITU


Doc zao feki ,na kila kitu fake ..

Kama wamesajiliwa ,ungewaomba ungeenda ofisini kusign mkataba , waligoma.

####leseni original waliocopy hio chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya sasa wameshajua mmewapost sasa nao wameanza kupost mashahidi [emoji28][emoji28][emoji28].Kweli wajinga ndio waliwao.Mimi nashauri kwa kuwa namba za admin zipo basi hatua za kisheria zichukuliwe na wahusika wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria kwa makosa ya utapeli na kughushi nyaraka
Screenshot_20200118-100703_WhatsApp.jpeg
Screenshot_20200118-100710_WhatsApp.jpeg
IMG-20200118-WA0005.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana Kwa Yanayokukuta
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu Mjifunze Kuchagua
Hiyo Ni Deci Ama Pesa Za Ku Download
 
Pole Sana Kwa Yanayokukuta
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu Mjifunze Kuchagua
Hiyo Ni Deci Ama Pesa Za Ku Download
 
hivi mkuu katika maisha yako ushawahi kusikia chochote kuhusu DECI, Pyramid scheme (Foreverliving, gnld etc) ????

Je, simu yako hujawah pokea sms yoyote kutoka Polisi ikikutahadhalisha kuepuka matapeli mitandaoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlalamikaji tupe abc jinsi gani ilifikia Hadi ukajiunga na hao champion, lini,wapi ofisi ipo, Nani alikupa mwanga kujiunga huko ili tujue Cha kukushauri
 
Mlalamikaji tupe abc jinsi gani ilifikia Hadi ukajiunga na hao champion, lini,wapi ofisi ipo, Nani alikupa mwanga kujiunga huko ili tujue Cha kukushauri
Hapa ndiyo maajabu yanaanza niliona tu namba yangu imeunganishwa kwenye group lao. Nadhani Kuna mahali wanapewa namba za wateja wanaofanya miamala Mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom