Champions League quarter-final draw: PSG face Manchester City – as it happened

Champions League quarter-final draw: PSG face Manchester City – as it happened

hebu cheki fixture zao head to head uone
katika fixture 6 za mwisho kati ya barca na atletico barcelona ameshinda zote
sasa hapo odds zina mfavor nani??
Mkuu unakumbuka maneno yangu
 
Natabiri fainali itakuwa Barcelona vs Bayern Munchen
Bila kupepesa macho NUSU FINAL UEFA ITAKUWA HIVI
BARCA vs BAYERN
PSG vs MADRID
Nusu fainali ni
wolsburg vs benfica
Atletico Madrid vs Manchester city
Fainali ni benfica vs atletico, then atletico anachukua ndoo...I wish iwe hivo tofauti na matarajio ya wengi!
Ndoto za mchana
Wewe ndio hujui kitu, jamaa amekwambia kwamba Atletico iliyomtoa Barca kipindi kile ni tofauti na sasa. Barca ile ni tofauti na ya sasa.

Kwanini unakataa kupima uwezo wa ligi au mechi za ligi kisha ukashindanisha na UEFA? Unajua hata haya mashindano yanaitwa LIGI YA MABINGWA?

Angalia kwa asilimia kubwa timu inayofanya vema LA LIGA kisha tazama uwezo wake hata na UEFA.

Yote tisa, kumi ni kwamba Barca ipo ktk form vibaya sana na ni timu ambayo imewekeza pesa nyingi kwenye kikosi chake. Atletico timu bado haijatulia na kama wewe kweli unaangalia LA LIGA utaona mapungufu kwa Atletico ya sasa na ile ya zamani.

Kiwango cha ufungaji wa magoli Atletico ni hafifu, ni sawa anaweza akazuia, Je nani atafanya kazi ya kufunga? Na Barca udhaifu wake ni kupata washambuliaji wenye kasi ili kuwafunga. Griezzman pekee ndo anayeweza kuwika, atashirikiana na nani?

Atletico anaaga haya mashindano na hata Simeone msimu huu baada ya kupigwa Barca nje ndani amesema HAKUNA TIMU YA KUINYAMAZISHA BARCA MSIMU HUU.

Jaribuni kutabiri mwaka ujao
 
Diego ni wakunilaza mapema mimi kweli....
Ndo kakulaza mapemaaa kilicho nifurahisha uzi huu umekuwa na mnyukano wa tabiri na data za kila namna ingawa na maskhara na kejeli zilikuwepo ila umekuwa uzi mzuri sana.Pole ndugu yangu hali hii humkuta kila mshabiki na mpenzi siku hazifanani yule muargentina supu kaitia nazi.
 
Ndo kakulaza mapemaaa kilicho nifurahisha uzi huu umekuwa na mnyukano wa tabiri na data za kila namna ingawa na maskhara na kejeli zilikuwepo ila umekuwa uzi mzuri sana.Pole ndugu yangu hali hii humkuta kila mshabiki na mpenzi siku hazifanani yule muargentina supu kaitia nazi.
Haya mambo yaliwazoea arsenal...sasa na sisi!
 
Wewe ndio hujui kitu, jamaa amekwambia kwamba Atletico iliyomtoa Barca kipindi kile ni tofauti na sasa. Barca ile ni tofauti na ya sasa.

Kwanini unakataa kupima uwezo wa ligi au mechi za ligi kisha ukashindanisha na UEFA? Unajua hata haya mashindano yanaitwa LIGI YA MABINGWA?

Angalia kwa asilimia kubwa timu inayofanya vema LA LIGA kisha tazama uwezo wake hata na UEFA.

Yote tisa, kumi ni kwamba Barca ipo ktk form vibaya sana na ni timu ambayo imewekeza pesa nyingi kwenye kikosi chake. Atletico timu bado haijatulia na kama wewe kweli unaangalia LA LIGA utaona mapungufu kwa Atletico ya sasa na ile ya zamani.

Kiwango cha ufungaji wa magoli Atletico ni hafifu, ni sawa anaweza akazuia, Je nani atafanya kazi ya kufunga? Na Barca udhaifu wake ni kupata washambuliaji wenye kasi ili kuwafunga. Griezzman pekee ndo anayeweza kuwika, atashirikiana na nani?

Atletico anaaga haya mashindano na hata Simeone msimu huu baada ya kupigwa Barca nje ndani amesema HAKUNA TIMU YA KUINYAMAZISHA BARCA MSIMU HUU.
Kwa kua nlikua nasema atletico atamtoa barca nkaonekana sijui kitu, eti kwa sababu game kadhaa za hivi karibuni barca alikua anamfunga atletico. Msidhani tuliokua tunasema atletico anapita tulikurupuka, game kama hizi sio za kuangalia juu juu tu. Tatizo wengi wana unazi na wako biased sana, na wanakua wanaangalia upande mmoja tu. Ila kwa mtu yoyote aliekua neutral na anaejua mpira ilikua wazi barca kumtoa atletico ilikua ngumu mno. Aya sasa njooni tuendeleze uzi
 
Kwa kua nlikua nasema atletico atamtoa barca nkaonekana sijui kitu, eti kwa sababu game kadhaa za hivi karibuni barca alikua anamfunga atletico. Msidhani tuliokua tunasema atletico anapita tulikurupuka, game kama hizi sio za kuangalia juu juu tu. Tatizo wengi wana unazi na wako biased sana, na wanakua wanaangalia upande mmoja tu. Ila kwa mtu yoyote aliekua neutral na anaejua mpira ilikua wazi barca kumtoa atletico ilikua ngumu mno. Aya sasa njooni tuendeleze uzi
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wanachoomba Barca ni wasipate majeruhi, hata Atletico anajua kuwa mpinzani wake mkubwa ni Barca, hakupenda akutane nae kabisa.

Kinachomhofu sana Atletico ni safu yake ya ushambuliaji, bado hakuna mtu wa kusimama wa kueleweka kuweka mpira wavuni.

Barca ataingia uwanjani huku Messi na Neymar wakijua kwamba ndani ya nafasi 5 basi wamefunga 4.

Game itakuwa ngumu sana, hata ikiwa droo mechi ya kwanza haimaanishi kwamba Barca katoka au Atletico kapita. Ila sioni kama draw itapatikana kirahisi, kumzuia Messi na Neymar wasikufunge ni ngumu sana.


Aiseee Vip Leo unajisikiaje!?
 
Back
Top Bottom