Pre GE2025 Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Pre GE2025 Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Sijaelewa hapa, huko Chamwino ndio mpaka wanafunzi nae wameingizwa kwenye zoezi hilo la kumtakia heri Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa. Hii inakuaje mpaka kukatisha ratiba ya siku ya wanafunzi?

====

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Janeth Mayanja leo Januari 27, 2025 ameungana na walimu, wanafunzi na wafanyakazi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Manchali, katika zoezi la kupanda miti 1,200 ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa akifanya jitihada kubwa kuhamasisha upandaji miti ili kutunza na kulinda mazingira.

Pia soma: Wanafunzi wa Rukwa Girls Secondary Schoo washerekea siku ya kuzaliwa Rais Samia! Je hii ni sahihi kulazimisha kuwa sherehe ya taifa?

Baada ya tukio hilo la kupanda miti, DC Janeth ameongoza zoezi la kukata keki ili kumtakia heri Rais Samia katika siku yake ya kuzaliwa.

Screenshot 2025-01-27 164314.png
Screenshot 2025-01-27 164326.png

Pia soma:
Screenshot 2025-01-27 164335.png
Screenshot 2025-01-27 164344.png
Screenshot 2025-01-27 164353.png
Screenshot 2025-01-27 164410.png
 
Wakuu,

Sijaelewa hapa, huko Chamwino ndio mpaka wanafunzi nae wameingizwa kwenye zoezi hilo la kumtakia heri Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa. Hii inakuaje mpaka kukatisha ratiba ya siku ya wanafunzi?

====

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Janeth Mayanja leo Januari 27, 2025 ameungana na walimu, wanafunzi na wafanyakazi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Manchali, katika zoezi la kupanda miti 1,200 ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa akifanya jitihada kubwa kuhamasisha upandaji miti ili kutunza na kulinda mazingira.

Baada ya tukio hilo la kupanda miti, DC Janeth ameongoza zoezi la kukata keki ili kumtakia heri Rais Samia katika siku yake ya kuzaliwa.


Pia soma:
View attachment 3215662View attachment 3215663View attachment 3215664View attachment 3215665
Uchawa ni kazi ngumu sana na ya aibu, hao ni wazazi wa watu kabisa eti wanashangilia Birthday hahahah
 
Binafsi sijaona tatizo hapo. Hiyo miti 1200 ikiwa itatunzwa itasaidia sana badae. Swala la.wanafunzi kukata na kula keki sio kitu chamaana kuliko miti iliyopandwa. Utasema wanafunzi walipaswa kuwa kwenye vipindi, mbona hawawa Dar mmewazuia kwenda shule leo na kesho
 
Siasa za kijinga, za watu wasio na maono Kwa taifa, hutafuta kizungumziwa Kwa ishu za kipuuzi..
 
Wakuu,

Sijaelewa hapa, huko Chamwino ndio mpaka wanafunzi nae wameingizwa kwenye zoezi hilo la kumtakia heri Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa. Hii inakuaje mpaka kukatisha ratiba ya siku ya wanafunzi?

====

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Janeth Mayanja leo Januari 27, 2025 ameungana na walimu, wanafunzi na wafanyakazi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Manchali, katika zoezi la kupanda miti 1,200 ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa akifanya jitihada kubwa kuhamasisha upandaji miti ili kutunza na kulinda mazingira.

Pia soma: Wanafunzi wa Rukwa Girls Secondary Schoo washerekea siku ya kuzaliwa Rais Samia! Je hii ni sahihi kulazimisha kuwa sherehe ya taifa?

Baada ya tukio hilo la kupanda miti, DC Janeth ameongoza zoezi la kukata keki ili kumtakia heri Rais Samia katika siku yake ya kuzaliwa.


Pia soma:
View attachment 3215662View attachment 3215663View attachment 3215664View attachment 3215665
Hakuna baya,
Wanafunzi ndio mambo yao haya,
Ungeshangaa khs hao wafu wazima ingekuwa poa zaidi!
 
Back
Top Bottom