CHAN 2025: Tanzania tusifanye makosa yanayayoendelea Zanzibar kujaribu wachezaji

CHAN 2025: Tanzania tusifanye makosa yanayayoendelea Zanzibar kujaribu wachezaji

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Naam, Tanzania tunaenda kuwa sehemu ya wenyeji waandaaji wa CHAN 2025.

Ngoja niwaambie,
Haya mashindano ndio size yetu kwa 100% tukiwa serious kama tulivyokuwa serious wakati mashindano haya yanaanzishwa rasmi 2009 kwa mara ya kwanza ivorycoast tunabeba hili Kombe.

Mwaka 2009 tukiwa na Marcio maximo tulifuzu na kucheza kwa kiwango cha juu sana.

AFCON kama AFCON kwetu ni kiatu kikubwa mno kutuenea kwa sababu kule wachezaji wetu ni wachanga sana kushindana mataifa kama Senegal,

Mara zote tunapopangwa kucheza na timu ngumu kama Morocco kwa mfano, huwa tunaitiwa wachezaji wao wote wa ulaya tena wa daraja la juu, huku wakijua wanakutana na sisi tunaotegemea wachezaji wa ndani.

Lakini hawatudharau kwa kuteua wachezaji wao kwny ligi zao za ndani never.

Ni wakati sasa TFF iache mizaha,
Tuwe serious, tuite wachezaji wetu first choices.

Wachezaji tunawajua wanajulikana ni wale wamekuwa wakitusaidia kutuvusha kwny nyakati ngumu, kwny michezo migumu..

Ndaragije aliwahi kufanya makosa kama haya kwny CHAN 2020 ambayo TFF inayafanya sasa kwa kuteua wachezaji wa kwenda kubahatisha.

Kule Zanzibar tumeenda kujaribu wachezaji na kupoteza mechi zote, juzi hapa tumefungwa tena na Sudan kwa kujaribu tena wachezaji wengine.

Tanzania ikiamua inaweza kabisa kubakiza hili kombe nyumbani, endapo tu; itaweka equal focus kama ilivyofanya kwny kufuzu AFCON na yatakuwa mafanikio ya kwanza makubwa kwa Taifa stars.
 
Huenda ushauri wako ukasaidia ila kwangu mi naona mapinduzi ni mashindano ya kijinga sana ambayo huwa yanakuja kuvuruga Psychology ya team na wachezaji na tena wachezaji wa tz bara hawapendi kabisa haya mashindano kwa hiyo hata kiwango Chao Cha kujitolea huwa kidogo sana maana hayana lengo na hata wakishinda hizo hela hawazioni
Imagine ligi ingekuwa inaendelea kwa Sasa maisha yangekuwa poa kabisa
Simba na yanga wachezaji wake wote hawako mapinduzi hii imeondoa hata Ile shauku ya watu kufatilia Nini kinaendelea huko Zanzibar
Mapinduzi cup itumie team za under 17 hapo itakuwa sawa
 
Naam, Tanzania tunaenda kuwa sehemu ya wenyeji waandaaji wa CHAN 2025.

Ngoja niwaambie,
Haya mashindano ndio size yetu kwa 100% tukiwa serious kama tulivyokuwa serious wakati mashindano haya yanaanzishwa rasmi 2009 kwa mara ya kwanza ivorycoast tunabeba hili Kombe.

Mwaka 2009 tukiwa na Marcio maximo tulifuzu na kucheza kwa kiwango cha juu sana.

AFCON kama AFCON kwetu ni kiatu kikubwa mno kutuenea kwa sababu kule wachezaji wetu ni wachanga sana kushindana mataifa kama Senegal,

Mara zote tunapopangwa kucheza na timu ngumu kama Morocco kwa mfano, huwa tunaitiwa wachezaji wao wote wa ulaya tena wa daraja la juu, huku wakijua wanakutana na sisi tunaotegemea wachezaji wa ndani.

Lakini hawatudharau kwa kuteua wachezaji wao kwny ligi zao za ndani never.

Ni wakati sasa TFF iache mizaha,
Tuwe serious, tuite wachezaji wetu first choices.

Wachezaji tunawajua wanajulikana ni wale wamekuwa wakitusaidia kutuvusha kwny nyakati ngumu, kwny michezo migumu..

Ndaragije aliwahi kufanya makosa kama haya kwny CHAN 2020 ambayo TFF inayafanya sasa kwa kuteua wachezaji wa kwenda kubahatisha.

Kule Zanzibar tumeenda kujaribu wachezaji na kupoteza mechi zote, juzi hapa tumefungwa tena na Sudan kwa kujaribu tena wachezaji wengine.

Tanzania ikiamua inaweza kabisa kubakiza hili kombe nyumbani, endapo tu; itaweka equal focus kama ilivyofanya kwny kufuzu AFCON na yatakuwa mafanikio ya kwanza makubwa kwa Taifa stars.
TFF hawana mipango endelevu,iliyo makini (no Smart goals)
 
Timu ya tanzania, huwa haieleweki,hakuna mchezaji aliyejihakikishia namba stars,ni mwendo wa majaribio kila uchwao, mchezaji anateuliwa kwa kuwa ana goli nyingi ktk timu yake au anaimbwa sana na wachambuzi uchwara. Huo si mpira bali ni siasa zilizokithiri ndugu zangu. Inatakiwa tuwe na first eleven inayoeleweka,kisha wanaoibuka tunawaingiza kdg kdg,hapo tutafanikiwa.
 
Huenda ushauri wako ukasaidia ila kwangu mi naona mapinduzi ni mashindano ya kijinga sana ambayo huwa yanakuja kuvuruga Psychology ya team na wachezaji na tena wachezaji wa tz bara hawapendi kabisa haya mashindano kwa hiyo hata kiwango Chao Cha kujitolea huwa kidogo sana maana hayana lengo na hata wakishinda hizo hela hawazioni
Imagine ligi ingekuwa inaendelea kwa Sasa maisha yangekuwa poa kabisa
Simba na yanga wachezaji wake wote hawako mapinduzi hii imeondoa hata Ile shauku ya watu kufatilia Nini kinaendelea huko Zanzibar
Mapinduzi cup itumie team za under 17 hapo itakuwa sawa
💐💐💐 makini sana hilo wazo nzr sana
 
Matokeo ya Tanzania bara huko Zanzibar

Zanzibar 1-0 Tanganyika
Tanzania bara 0-2 Kenya
Tanzania bara 0-2 Burkina Faso

Yaani hata goli moja wameshindwa kufunga.

Haya matokeo yamefichua uhalisia kwamba Nje ya Wachezaji wa kigeni kwny ligi NBC league, wachezaji wetu wa ndani ni wepesi sana.
 
mie siangalii sana matokeo ya mpira,kuna fursa hapa, wenye bolt, nyumba zaku pangisha huu ni mdaa waku piga hela ..hata unaye kaa nyumba yaku panga, acha nyumba pangisha kwa $
 
Back
Top Bottom