Mkuu Tiba ukisha click kwenye hiyo link unaweza ukaenda moja kwa moja kwenye hiyo channel au inaweza ikaja page yenye orodha ya nchi pamoja na idadi ya channels ambazo zipo kwenye hizo nchi (hii ipo upande wa kushoto) ,so wewe itafute senegal then click itakuja hiyo channel kwani ipo hiyo tu. Ukitaka kuingia kwenye hiyo channel click kwenye jina lake(RTS1) then utaipata .Kama bado huipati nadhani kuna tatizo lingine. enjoy!!
TANZANIA Line Up
18-MOHAMED SHABAN DIHILE, 2-SWEDI SALUM, 3-SHABAN HARUNA MOSHI, 6-SHINDIKA HENRY JOSEPH, 8-NGASA MRISHO, 9-NAMWANDU GEOFREY BONNY, 10-TEGETE JERSON, 13-ALI NADIR HAROUB, 14-SHADRACK NSAJIGWA, 16-KHALFAN NIZAR, 21-JABU JUMA