CHAN live on KBC1, why not TBC1?

Angalia zbc 2 au Rwanda TV wako live kwenye azamtv tbc bado wa namalizia matangazo ya chattle
Wao bado wanatukumbusha kishindo cha awamu ya 5, kila saa mnaonyeshwa SGR isiyoisha, fly overs n.k
 
Unaonaje uniazime hicho chako! Dharau hazilipi, ulitakiwa kunijibu ili tupate muafaka.
Nitukane ufurahi zaidi.
 
Unaonaje uniazime hicho chako! Dharau hazilipi, ulitakiwa kunijibu ili tupate muafaka.
Nitukane ufurahi zaidi.
Sorry mkuu..
Sikumaanisha hivyo.
Lengo ni TBC waache kutunyima burudani.
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…