Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Kama matokeo ya Jana yangekuwa FT ni Sudan 4-5 Tanzania.Kwa hesabu zako Tanzania ingekuwa imepita kwa jumla ya goli 10 kwa 6???Hekima bei take in ghali kuliko bei ya dhahabu. Naomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3
Ahsante
Mkuu wangu magoli ya ugenini yanaangaliwa mnapokuwa mpo sawa, mfano kwa matokeo ya Leo INA maana matokeo ni 2-2 bila kuangalia matokeo (magoli) ya home au away. Sasa baada ya matokeo kuwa 2-2 magoli ya ugenini yakahesabiwa Mara mbili. Mfano Timu A imeshinda nyumbani kwa 3-1 halafu ugenini ikashindwa 2-0 timu A itatolewa ktk madhindano kwa 3 (timu A) vs 4 (timu ngeni). Nafurahi kwa matokeo ya jana kwa vile yametoa darasa kwa watu wengi.Unaweza bado kuuliza swali kama lipo (Hii inahitaji Logic & hesabu)Kama matokeo ya Jana yangekuwa FT ni Sudan 4-5 Tanzania.Kwa hesabu zako Tanzania ingekuwa imepita kwa jumla ya goli 10 kwa 6???
Kiji timuTuna nini
Mkuu haipo hivi. Away goal is just an advantage na sio kwamba wanacount kwenye matokeo ya uwanjani. Ni sawa na sheria ya kurusha shilingi kuamua mshindi mechi ikiisha sare.Ungeweza kujibu kwa staha ili kufikisha ujumbe wsko. Naombs naomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3
Ahsante
Na haliandikwi popote pale..Mkuu naomba nkusahihishe! Goal la uganini aliongezewi mpka matokeo ya jumla(home and away game's result) yawe suluhu na linaongezwa goal moja tu kwa yule mwenye magoal mengi...kwa mechi ya stars matokeo ni draw 2-2 ila stars ana qualify kwa faida ya magoal mengi ya ugenini....
Wangoni na Wanatengo wanawavuruga sana watu since wanashare majina ya koo, kuna Komba Mngoni Komba Mmatengo...Hii dhana ya kudhani kila mtu wa Ruvuma ni Mngoni inawatatiza wengi;Ukiwauliza wenyewe wana Ruvuma watakuambia hakuna Mfungaji hata Mmoja ambae ni Mngoni
Kama Nchimbi ni MmatengoWangoni na Wanatengo wanawavuruga sana watu since wanashare majina ya koo, kuna Komba Mngoni Komba Mmatengo...
Yes ingekuwa Tz 10-6 Su. Baada ya matokeo ya jumla ( home & away) kuwa 5-5.Kama matokeo ya Jana yangekuwa FT ni Sudan 4-5 Tanzania.Kwa hesabu zako Tanzania ingekuwa imepita kwa jumla ya goli 10 kwa 6???
1x2=2+1=3 SudanNaomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3
Ahsante
Huwezi kunipangia nn cha kufanyaMuombe msamaha Mungu,utubu kufuru zako kabla jua halizama.
Viva Taifa Stars
Yes ingekuwa Tz 10-6 Su. Baada ya matokeo ya jumla ( home & away) kuwa 5-5.
Mkuu Chillah nashuru kwa swali. Niseme tu kwa urahisi hivi baada ya match mbili (Home & away) kama timu zinakuwa sawa ya magoli ya kufunga & kufungwa magoli yote yaliyofungwa ugenini (away) yanazidishwa Mara mbili.1x2=2+1=3 Sudan
2x2=4+2=6 Tanzania au sisi hatutakiwi kujumlishiwa magoli?
Spot on.Mkuu Ulimakafu nakushukuru kwa kutoa na haya maelezo. Ukiangalia hoja zangu halo nyuma watu walikuwa wanaishangaa. Ni bahati mbaya kwamba watu wengi hawaijui hii concept ijapo wengi wanafuatilia UEFA Champion (Match zote za elimination za Home & Away) ambapo katika hatua (kuanzia round 16) hii concept inatumika sana. Mfano ktk CAF Champion league match ya marudiano kati ya Zesco vs Yang's Kyle Zambia iwapo Yanga ingesawazisha na kuwa 2- 2 basis ingesonga mbele kwa 5 - 4 (Naomba nisimkwaze MTU)
Ahsante