Chance kwa member wa jf mwanamke/mwanadada kutembelea dubai

Chance kwa member wa jf mwanamke/mwanadada kutembelea dubai

hahahahha! .......................... hivi ile napewa ama najipa??

manake mali yangu mwenyewe je itanipa raha ama najipa raha mwenyewe??

Hahahaaa sina jibu bhana, kwa kuwa unaihudumia hivyo ni mali yako hahahaha teh teh teh uuuwwwiiiii...............!:biggrin:
 
Sijamuona lara1 hapa, ngoja nimbeep nimwambie kuna deal.
 
nimechoka kula kuku nami nataka nikale bata dubai
 
Naomba kura zenu nataka kwenda dubai! Na mm japo nitoke nje ya tz tangu nimezaliwa sijawi kwenda hata zenji!
 
Wakati wengine wakiomboleza kifo cha Yesu Kristo na baadaye kushangilia kufufuka kwake siku ya Jumapili ya Pasaka na huku Serikali za Dunia zikitoa mapumziko ili Waumini watafakari tendo hilo kuu katika ukombozi wa mwanadamu, wewe C.T.U unatumia muda, fedha na nguvu zako kufanya uzinzi, uasherati, kufuru na ulevi! Anyway, umegeuza sikukuu ya kidini kuwa ngoma ya kubadilishana virusi. Pambaf zako!
 
Wakati wengine wakiomboleza kifo cha Yesu Kristo na baadaye kushangilia kufufuka kwake siku ya Jumapili ya Pasaka na huku Serikali za Dunia zikitoa mapumziko ili Waumini watafakari tendo hilo kuu katika ukombozi wa mwanadamu, wewe C.T.U unatumia muda, fedha na nguvu zako kufanya uzinzi, uasherati, kufuru na ulevi! Anyway, umegeuza sikukuu ya kidini kuwa ngoma ya kubadilishana virusi. Pambaf zako!

NIMEANDIKA WAPI? KUWA MGENI WANGU WA DUBAI TUTAZINI, WAPI PAMEANDIKWA KUWA TUTAKUNYWA POMBE? NA UNAVYOSEMA KUWA umegeuza sikukuu ya kidini kuwa ngoma ya kubadilishana virusi. UMENIPIMA? JE WEWE UMEJIPIMA??

UMASIKINI WAKO USIWE SABABU YA KUMCHUKIA MWENYE MALI

NYAMBAAAV
 
Back
Top Bottom