hahahahha! .......................... hivi ile napewa ama najipa??Hapo sawa..........!
Ila nyingine lazima upewe tu bhana...............!😛layball:
Nikumbushe conditions again......More than a promise ......................!
See "CHAINIZ" hotels utakayofikia kwa mapumuziko.............!
View attachment 87627
Room utayoandaliwa
View attachment 87628
Upande wa mbele wa hotel
View attachment 87630
Nikumbushe conditions again......
hahahahha! .......................... hivi ile napewa ama najipa??
manake mali yangu mwenyewe je itanipa raha ama najipa raha mwenyewe??
kumbe it wasnt meant for me enh! basi najitoa.
Nina kura 50 hapa.
kule hakuna bata kuna ngamia!Mm niko tayari naombeni kura zenu nami nikale bata.
Na mie jamani
Wakati wengine wakiomboleza kifo cha Yesu Kristo na baadaye kushangilia kufufuka kwake siku ya Jumapili ya Pasaka na huku Serikali za Dunia zikitoa mapumziko ili Waumini watafakari tendo hilo kuu katika ukombozi wa mwanadamu, wewe C.T.U unatumia muda, fedha na nguvu zako kufanya uzinzi, uasherati, kufuru na ulevi! Anyway, umegeuza sikukuu ya kidini kuwa ngoma ya kubadilishana virusi. Pambaf zako!
Mm niko tayari naombeni kura zenu nami nikale bata.