Chance to goal convertion rate ya simba iko chini sana

Chance to goal convertion rate ya simba iko chini sana

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
Nina uhakika hata Kaizaer Chiefs wenyewe hawaamini leo kama wamepona!

Simba wana tumia nafasi chache sana kua Goli. hii ni kasumba ambayo haija anza leo wala jana ina msimu zaidi ya miwili klabuni

Ili uwe bingwa lazima ucheze kibingwa, Kaizer wamecheza kibingwa hasa kwenye mechi yao ya nyumbani ambayo walipata nafasi 6 waka tumia nafasi nne wakapata goli nne safi kabisa.

Leo Chriss Mugalu pekeake amekosa nafasi 6 na amepoteza zote zikiwa 4 za wazi,Boko pamoja na kufunga goki 2 ila kakosa nafasi 2 za wazi kabisa wakati Chama pia amepoteza nafasi 2 za wazi,

Shoot ontarget 10 ,lakini goli 3 kazier walipiga shoot on target 5 wakafunga goli 4 hapa ndio kuna utofauti wa mkongwe kazini na timu inayo jifunza na hapa ndio Simba walipo tolewa.

So far Benard Morrison ndio mchezaji wa matokeo zaidi kweye kikosi cha Simba! Anafosi ana drible yuko shap sana na ana maamuzi ya haraka kama mimi ningekua ndio Deo Rosa majukumu aliyo nayo chama ningempa Benard awakere!

Simba wakitaka ku unlock hii ROBO FINAL OUT wanatakiwa wajua kua Champions League hakuna Mwadui wala coastal union ambao kwenye mechi moja unakosa nafasi 10 na bado unapata goli 5 au zaidi!

Sitegemei kumuona Mugalu msimu ujao....
 
Uchawi unawapa kichwa bure

Yamkini mpira kuchezwa nje ya uwanja wangeacha tungekuwa tunaangalia mpira halali

Lakini wanakuambia mpira ulishamalizwa siku tatu Kabla ndiyo kujitapa kule kwa Manara

Na chunguza Manara huwa hajitapi Sana kama mpira Hana uhakika nao

Leo Mungu kaamua Tu kuowaonyesha kuwa licha ya uchawi wao na kujua washamaliza mechi aweza kupindua
 
Simba imeshinda mchezo wa leo kwa magoli 3 kwa 0 na wamecheza vema kwa kiwango kikubwa sana.

Kama Simba wamefikia uwezo wa kutengeneza nafasi mia kama unavyosema mleta mada basi ni hatua kubwa sana, watajipanga vema kurekebisha makosa.

Kaizer leo hawajatengeneza nafasi na kuzitumia kama walivyofanya wakiwa kwao inamaana Simba kuna pahala wamejirekebisha kwenye mechi ya leo.
 
Uchawi unawapa kichwa bule

Yamkini mpira kuchezwa nje ya uwanja wangeacha tungekuwa tunaangalia mpira halali....
Hahah me nncho amini hakuni Fanani bila ya hadhira! Hakuna Simba bora kwenye yanga mbovu,hizi timu ni pacha na zina tazamani mnoo kimsingi Simba wameimarika hasa kwenye haya mashindano ya club bingwa ila ndio hivyo tu lazima upinzani wa jadi uwepo
 
Simba imeshinda mchezo wa leo kwa magoli 3 kwa 0 na wamecheza vema kwa kiwango kikubwa sana.
Kama Simba wamefikia uwezo wa kutengeneza nafasi mia kama unavyosema mleta mada basi ni hatua kubwa sana,watajipanga vema kurekebisha makosa.
Kaizer leo hawajatengeneza nafasi na kuzitumia kama walivyofanya wakiwa kwao inamaana Simba kuna pahala wamejirekebisha kwenye mechi ya leo.
Kabisa kuna pongezi Simba wana zi stahili tena sana tu japo hili swal Kupoyeza nafasi mno liangaliwe sana kama timu inahitaji kikubwa zaidi ya walicho pata msimu huu kwenye champions league
 
Ulikuwepo wakati wanaroga?
Kama walozi wenyewe mpaka humu waliandika nyuzi

Juzi ikatolewa clip mtu analoga mchana kweupe

Ushuhuda wa kaduguda kwenda kuloga Kongo usiku wa manane


Rudi Kwa wachezaji wa kaiza walivyokuwa wamechoshwa .

Rejea. Kwa mashabiki kindaki waliokuwa wanasema wazi Tu kabisa mpaka wanasema kushinda ni lazima hata kafala la mtu Leo lzm tushinde

Yaani mpaka hapo hujajua Tu

Muulize gentamicin
 
Hakuna alie mlinganisha yoyote na yoyote swal ni yeye kama yeye achana na sjui na kagere sjui nani...
Mugali ni stricker.mechi muhimu kwenye hatua muhimu kupata magoli muhimu kwenda kwenye hatua muhimu kusonga mbele yeye anakosa nafasi zaidi ya tatu,hii ni aibu kwake kama stricker.
 
Mugali ni stricker.mechi muhimu kwenye hatua muhimu kupata magoli muhimu kwenda kwenye hatua muhimu kusonga mbele yeye anakosa nafasi zaidi ya tatu,hii ni aibu kwake kama stricker.
Aibu kubwaa sana
 
Kama walozi wenyewe mpaka humu waliandika nyuzi

Juzi ikatolewa clip mtu analoga mchana kweupe

Ushuhuda wa kaduguda kwenda kuloga Kongo usiku wa manane


Rudi Kwa wachezaji wa kaiza walivyokuwa wamechoshwa .

Rejea. Kwa mashabiki kindaki waliokuwa wanasema wazi Tu kabisa mpaka wanasema kushinda ni lazima hata kafala la mtu Leo lzm tushinde

Yaani mpaka hapo hujajua Tu

Muulize gentamicin
Tatizo wabongo mdogo mwingi ...ukiuliza kati ya hayo unayosema ni yapi umeshuhudia...hakuna! Oh kasema ...
 
Back
Top Bottom