Chande: Kipande cha Jangwani kinafanyiwa usafi mara kwa mara kupunguza athari za mafuriko

Chande: Kipande cha Jangwani kinafanyiwa usafi mara kwa mara kupunguza athari za mafuriko

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Hamad Chande amesema ili kupunguza athari za mafuriko kwa sasa, kipande cha Mto Msimbazi cha Jangwani kinafanyiwa usafi wa mara kwa mara na Wakala wa Barabara TANROADS

Amesema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa eneo la Uwekezaji na fursa mbalimbali ambapo usanifu wa mradi umekamilika

Akiwa Bungeni Dodoma, amesema Utekelezaji wake utaanza baada ya kupata idhini ya Serikali kuhusu matumizi ya Fedha za mkopo kupitia Wizara ya Fedha na Mipango

jangwani.jpg
 
Dah aliyepata ile tender naona kapaki mitambo kabisa, kajenga na kibanda kabisa pale anasikilizia tu Mama Kijazi aseme Neno apeleke invoice. Sijajua ile mitambo itakaa pale hadi lini, aagh basi kufa kufaaana na hii mvua ya Leo, jamaa ameshaanza kunywa kahawa
 
Uwekezaji unaofaa hapa baada ya daraja juu ni city flower garden inaweza kuwa ma mobile food vans. Hali ya hewa ikibadilika magari yanaondolewa na mambo yakitulia mnaanza kupanda maua mengine.
 
Back
Top Bottom